Plato
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 420
- 94
nani asiyetilia shaka tamko la uvccm? Wanataka tu kumsafisha lowasa.baadaye wamesikika wakise wanataka waliodanganya taifa na kuingiza serikali hasara wawajibishwe.sasa mtu akiongea hivyo kwenye muktadha wa dowans richmond,nani hajui wanasema nini.nanyi mwadanganyika! Wanafiki tu hawa