nguluvisonzo
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 515
- 71
Hakika wanavuta shuka asubuhi, kuna mambo mengi sana kiasi kwamba kurudisha imani kwa CCM si rahisi kwa muda huu,kung'ang'ana na bodi ya mikopo ivunjwe eti kwa fikra zao ndio inakimbiza vijana kutoiunga mkono sio sahihi, hiyo bodi ni sera yao na serikali ikatekeleza kuiunda, pesa ya kuindesha kwa kuwapatia mikopo wanafunzi wanalipia mikataba mibovu na mambo mengine yasiyo na tija kwa taifa letu.
Wakumbuke kuna msururu wa mambo mabaya ambayo yameliangamiza taifa letu walitakiwa wayasimamie mapema walishindwa kufanya hivyo walichofanya ni kushirikiana na kutafuna rasilimali za taifa letu kwa mgongo wa UVCCM.
Hii ni dalili ya mfa maji waliwekeza kwa ajili ya kuja kushika hatamu na wao walitafune taifa hili sasa wamebaini kuwa mbele ni giza matarajio yao hayapo tena,watanzania wamekwisha jua mbivu na mbichi na juu maovu yaliyo ligharimu taifa letu yatawekwa wazi na wahusika wote wachukuliwe hatua.
SHUKRANI KWA VIONGOZI WA VYUO KUSHITUKIA DILI LA CCM NA KUKATAA KUSHIRIKIANA NAO KATIKA MAANDAMANO WALIYOYAITISHA,PIA NATOA WITO KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI WASIDANGANYIKE HATA KIDOGO KUJIINGIZA KATIKA HIKI WANACHOKIFANYA CCM, TUSEME INATOSHA INATOSHA.
:embarrassed:
Wakumbuke kuna msururu wa mambo mabaya ambayo yameliangamiza taifa letu walitakiwa wayasimamie mapema walishindwa kufanya hivyo walichofanya ni kushirikiana na kutafuna rasilimali za taifa letu kwa mgongo wa UVCCM.
Hii ni dalili ya mfa maji waliwekeza kwa ajili ya kuja kushika hatamu na wao walitafune taifa hili sasa wamebaini kuwa mbele ni giza matarajio yao hayapo tena,watanzania wamekwisha jua mbivu na mbichi na juu maovu yaliyo ligharimu taifa letu yatawekwa wazi na wahusika wote wachukuliwe hatua.
SHUKRANI KWA VIONGOZI WA VYUO KUSHITUKIA DILI LA CCM NA KUKATAA KUSHIRIKIANA NAO KATIKA MAANDAMANO WALIYOYAITISHA,PIA NATOA WITO KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI WASIDANGANYIKE HATA KIDOGO KUJIINGIZA KATIKA HIKI WANACHOKIFANYA CCM, TUSEME INATOSHA INATOSHA.
:embarrassed: