FIKRA MBADALA
Senior Member
- Jun 30, 2008
- 167
- 16
Wewe ndio Salva Rweyemamu? hebu tuondolee kiwingu, huna uwezo na hautokuwa nao wa kutufundisha sisi tumuite kwa jina lipi Mkwere, kama inakukera nakushauri nenda kapoteze muda wako kwenye website ya ccm uangalie miradi ya chama, huko utakutana na taarifa ambazo unapenda kuzisikia, hapa umepotea njia, hatupo hapa kumpaka mafuta Mkwere wakati ndugu zetu wanakufa njaa kwa kukosa milo mitatu.
ndugu, huwezi jua na mimi naweza kuwa mwanachadema wala si CCM lakini tukubali kwanza kujikosoa kabla hatujakosoa wengine. Ni wachache sana wanaofanikiwa katika siasa kwa kukwepa hoja za msingi au kwamba matusi ndio hujenga. dhana hapa ni kuwa wapinzani tusionekane hatuna hoja au tunafafana na wale tunaowashambulia.