Katika jambo la kushangaza ni kwamba zaidi ya nusu ya wagombea wa Umoja wa vijana wa Taifa ni vijana wa Lowasa,hii imethibitishwa na uchukuaji na urudishwaji fomu za ngazi zote!,Beno Malisa ambaye ni mfuasi mkuu wa kumwandalia njia Lowasa kwa mwaka 2015 amekabidhiwa zaidi ya sh billion moja na nusu za kuwanunulia fomu viongozi wajao wa Umoja huo,katika mazingira ya kusikitisha sana,mzee Samwel Sitta naye anahusishwa kwa kumtuma kijana wake Paul Makonda wakati Lowasa akimwandaa Antony Mavunde wa Dodoma,