USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
KUNA kijana wa tarime anaitwa TOTO alihama CHADEMA kimasilah zaidi sasa mbona anajidhalilisha alikuwa CDM tangu akiwa UDSM mpaka anamaliza ghafla akahamia MAGAMBA tangu juzi alipanga kutoa fedha na kuhakikisha anatimiza lengo lake DITTU acha tamaha ya madaraka kaka huko ccm si wenzako