Mh SAMBALA
Member
- May 29, 2011
- 43
- 2
Kufa na Kupona kwa CCM..
Ni nini mh.? Nadhani una siri kubwa moyoni, amplify basi nasi tupate japo cha kusema.Kufa na Kupona kwa CCM..
hawezi rudiHana lolote huyo ni mmoja kati ya wale vijana wanaotoana roho kuwania uongozi UVCCM,anajiita mh kisa ni diwani wa kata gani sijui dodoma huko! anamiliki ka group kake kule facebook kanaitwa TANURU LA FIKRA,kutwa ni kuwachafua vijana wenzake wenye nia na UVCCM kwenye hilo group na ni mmoja wa wafuasi wa kigwangala,anamkashifu bashe kila siku! anajiita comrade sambala,kifupi anapenda misifa ya kijinga! Im out aje ajitetea nimwage maovu yake hapa,,,
Hana lolote huyo ni mmoja kati ya wale vijana wanaotoana roho kuwania uongozi UVCCM,anajiita mh kisa ni diwani wa kata gani sijui dodoma huko! anamiliki ka group kake kule facebook kanaitwa TANURU LA FIKRA,kutwa ni kuwachafua vijana wenzake wenye nia na UVCCM kwenye hilo group na ni mmoja wa wafuasi wa kigwangala,anamkashifu bashe kila siku! anajiita comrade sambala,kifupi anapenda misifa ya kijinga! Im out aje ajitetea nimwage maovu yake hapa,,,
unamwamini kwa lipi? hivi unamjua sambala wewe?hapa nazidi kumuamini mleta thread!
unamwamini kwa lipi? hivi unamjua sambala wewe?
Hana lolote huyo ni mmoja kati ya wale vijana wanaotoana roho kuwania uongozi UVCCM,anajiita mh kisa ni diwani wa kata gani sijui dodoma huko! anamiliki ka group kake kule facebook kanaitwa TANURU LA FIKRA,kutwa ni kuwachafua vijana wenzake wenye nia na UVCCM kwenye hilo group na ni mmoja wa wafuasi wa kigwangala,anamkashifu bashe kila siku! anajiita comrade sambala,kifupi anapenda misifa ya kijinga! Im out aje ajitetea nimwage maovu yake hapa,,,
... Za leo leo hunijui hata siku moja we umekutana na mimi Humu JF...
HAYA MWAGA MAOVU YANGU....
Haya wewe sambala unayejiita comrade sambala nje ya JF,na diwani wa kata ya mondo ambaye hutulii katani kwako kutwa uko safarini,kwanza unadanganya watu umezaliwa mwaka 1984 kitu ambacho sio sahihi sababu hasa ni ili ukidhi vigezo vya kugombea uvccm mwaka huu,katika kipindi kifupi cha udiwani wako ushakula pesa za wananchi kiasi cha wewe kuitwa kuzitolea maelezo! Nakuja na picha zako soon,,,
Sambala ana tabia za ki Tuntemekeunamwamini kwa lipi? hivi unamjua sambala wewe?
Sambala ana tabia za ki Tuntemeke