Uvamizi wa Eneo Meru na Mahojiano na Aloyce Kimaro (MB)

Huu uvamizi ulipangwa!!!! Amini usiamini!!! Tujiulize huyu Kimaro alinunua hilo shamba mwaka gani na kwa bei ya shilingi ngapi kwa ekari moja??? Tusipende kuwa mashabiki!!! Naamini kabla Kimaro hajanunua shamba hilo, kulikuwa na mmiliki wa awali ambaye pengine alikuwa ni Mmeru??? Je sasa huyu mmiliki alilipataje shamba hilo?? Na kama alilipata kisheria ila si kwa sheria halali (kitendawili) je utaratibu ulikuwaje?? Au kama lilikuwa ni estate ya serikali basi atakuwa alilipata kwa tender?? Mbona hatujavamia Kiwira iliyouzwa kwa bei ya kutupwa??? Nakumbuka hapo nyuma nilishaandika kuwa kuna wabunge takribani 10 wanatafutwa kwa namna yoyote na mafisadi, na Kimaro ni mmowajawapo?? Kuna mipango kabambe ya kumwangusha 2010 asipate hata kupitishwa kama jina la mgombea. 2010 siyo mbali, mipango imeshaanza??

Kwa taarifa ndogo ni kuwa EL ni swahiba wa mafisadi wengi, mkubwa akiwa RA. Kimaro ni adui mmojawapo wa Mafisadi, akiwemo EL na RA. Kwani EL anatokea wapi. hapo ndiyo ngoma inachezwa, mdundiko wa kiana.

Nataka watanzania tujiulize, ni kwa nini tunakubali kuwa cheap kiasi hiki??? Ni mafisadi wangapi wame own ardhi na rasilimali lakini hawafuatwi? Nilidhani kuwa tungeanzia kwa hawa mafisadi papa kuharibu dhuluma zao ndipo tujijeukie sisi??? Au ndiyo ile ya kusema toa kwanza boriti ndani ya jicho lako ndipo utoea la mwingine, au charity begins at home, au safisha kwanza nyumba yako ili useme kuwa ya mwenzio ni chafu?? Watanzania hapa tunajidanganya?????!!!!! Wanakijiji wale watakuwa walipewa ujirra kidogo tu ili wakubali kufanya maasi!!!! Huu wote ni matokeo ya umaskini uliosababishwa na hawa hawa masisadi, wanatingisha kifimbo wewe maskini huna budi kukicheza.

Tujiulize ni mara ngapi tunaona na kusoma katika vyombo vya habari jinsi ambavyo watanzania katika makazi ya migodi au mashamba makubwa wananyanyasika na hakuna wa kuwasemea?? Tujikumbushe kidogo yanayotokea huko migodini na wale ambao wamenyang'anywa ardhi bila fidia ya maana, kila siku ni mateso tu. Kwa nini basi watanzania maskini hawajaweza kuvamiwa maeneo hayo? Simply, because the owner or shareholder ni mafisadi na fisadi hawezi kujiangamiza mwenyewe kwa kulipa maskini 500 ili wachome moto au kuharibu mali na vitendea kazi.

Siku watanzania tutaamka katika usingizi wa pono wa sasa, tutashangaa sana!!! Tutanyanyua macho, hali tutakayokutana nayo itatutisha na tutarudi usingizini (imagine mtoto anapoamka kwa kushtuka usingizini ananyanyua kichwa halafu anarudi tena kulala). Tumekwisha.
 
Nimepita hilo eneo wananchi waliposhambulia. Migomba iliyofyekwa haifikii eka kumi. Na migomba iliyofyekwa iko kwenye eneo la AVRDC. Hilo eneo ni chini ya barabara. Eneo la mbunge Kimaro liko juu ya barabara. Mwandishi wa Nipashe kaongeza chumvi kwenye habari yake.
 
kimaro awagawie tu hapo ardhi hawa wananchi..kama ana heka 500 awpe hapo 300 yeye abaki na 200!
The rioters are reported to have burnt 19 houses and three tractors, and also destroyed banana plantations in a section of the farm measuring about 100 acres. The total size of the estate is said to be 500 acres.
 
Last edited:
Speaking by telephone, he said: ''I am in Dar es Salaam at present and I have just received the news. It is impossible for people in their hundreds to just storm onto a farm without being organized...They must have been incited to carry out the destruction.

''In fact I am even told the invasion started on Saturday night,'' he added.

The Vunjo lawmaker said he had plans to put up a five-star hotel and a modern entertainment centre on the estate overlooking Mount Meru and Mount Kilimanjaro.

He noted that such a project should cost at least not less 10bn/-, but emphasized that despite the weekend setback he has no intention of giving up.
 
To give a little bit of history about the farm. Hilo shamba la Kimaro, zamani lilikua shamba linaloitwa Madiira Estate. Lilikua shamba la kahawa na mmiliki alikua Mgiriki. Serikali ikalichukua lakini sio lote. Ikamwachia Binti wa Mgiriki kiasi kidogo cha ardhi na nyumba. Kimaro hana zaidi ya eka 50.
 
Lisije likawa ni kati ya yale mashamba ya UMMA ambayo yalibinafsihwa kwa bei ya kutupa kwa akina Kimaro, Sumaye, Mzindakaya,....Huku wenyeji wa maeneo hayo wakiachwa watupu, hawana ardhi kwenye Nchi yao!
 
Kuna tetesi kuwa kumetokea vita hapo nyumbani. Kwa waliopo hapo tafadhali tujulisheni.
MKUU HUENDA IKAWA NI HII:

Several hurt as villagers, police clash on MP's farm in Arusha



THISDAY CORRESPONDENT
Arusha

MORE than 3,000 residents of Singisi Village in Arumeru District, Arusha Region, armed with machetes and other traditional weapons, yesterday stormed the Madira Estate here owned by Vunjo Member of Parliament Aloyce Kimaro (CCM) and set ablaze various assets on the farm.

The rioters are reported to have burnt 19 houses and three tractors, and also destroyed banana plantations in a section of the farm measuring about 100 acres. The total size of the estate is said to be 500 acres.

The riots, pitting the villagers on one side and police on the other, ensued after the villagers claimed that the legislator had acquired the land legally but in dubious circumstances.

At least three villagers were reportedly shot and injured by police during the protracted clashes.

Journalists at the scene witnessed the rather well-prepared villagers carrying bottles of water that they used whenever the police fired upon them with teargas cannons. They also pelted the police with stones, appearing to eventually overwhelm them as they retreated from the area.

During the clashes lasting about six hours, the villagers furthermore blocked the road to the farm with stones and logs as they carried on with their massive rampage of destruction on the property.

Amid the chaos, over 50 children are reported to have fainted and had to be rushed to a nearby dispensary.

The villagers were also seen looting various furnitures from store sheds on the farm, which was repossessed by the government from white settlers in recent years.

Until late yesterday, about seven vehicles belonging to the anti-riot police squad were seen roaming the area's periphery as the villagers stood on surrounding hills around Mount Meru.

Arusha Regional Police Commander (RPC) Basilo Matei said 20 people had been arrested in connection with the incident, and more police are to be deployed soon. The number of those reportedly arrested later rose to 79.

Contacted later for comment, MP Kimaro said he suspected the villagers had been mobilised and incited into invading his property by people who want to ''drive me off the course'' of the fight against grand corruption.

Speaking by telephone, he said: ''I am in Dar es Salaam at present and I have just received the news. It is impossible for people in their hundreds to just storm onto a farm without being organized...They must have been incited to carry out the destruction.

''In fact I am even told the invasion started on Saturday night,'' he added.

The Vunjo lawmaker said he had plans to put up a five-star hotel and a modern entertainment centre on the estate overlooking Mount Meru and Mount Kilimanjaro.

He noted that such a project should cost at least not less 10bn/-, but emphasized that despite the weekend setback he has no intention of giving up.
 
wameru ni kibooko...nadhani wanakaribia na watu wa tarime...mnakumbuka bifu lao la mwaka 1989 ...liliwashinda wote kuanzia rais ,waziri mkuu ,wote.....walikuwa wanagombea dayosisi ya meru[sasa hivi akyoo ni askofu].....

katika mambo ambayo nchi hii hata AUGUSTINE mrema ...akionekaana kachoka namna gani ..lakini hatasahaulika ni namna alivyoweza kuumaliza ule mgogoro....nadhani watu wanaosomea diplomasia ..they neeed kuongea naye kujuwa baadhi ya mbinu alizokuwaga nazo yule mzee....MREMA Ndiye aliyemaliza mgogoro wa meru ..uliopelekea makumi ya watu kuuwana kwenye vita vya koo....nadhani hiyo ni moja ya sababu iliyomfanya mzee mwinyi ampe unaibu waziri mkuu....

...wakati mrema amepoteza mafao yake na kuishia kuishi kwa kubangaiza....kuna viongozi wengi tu ambao hawakuwa na mchango kama wake nchi hii wanatuzwa na serikali.....,anyway...we need a thread to analyse THE LEGACY OF AUGUSTINE LYATONGA MREMA.....

WATU kama huyu na wengine wengi nchi hii wanashindwa kushawishiwa kuandika vitabu ...na kupelekea nchi kupoteza uzoefu wao wa mazuri...ikiwemo utatuzi wa migogoro kama huu wa meru!!!

wameru ni wagomvi wa ardhi hata waingereza wanajuwa hilo ...hawaogopi polisi...refer enzi za kina mzee JAPHET KILIRO...ALIENDa HADI uno kudai ardhi ...na ma setler wengi waliporwa ardhi na wakoloni na wameru kurudishiwa ...historia ni historia ...ndio inayofanya maisha ya leo!
 
Hapa nimebaki hoi, eka 500?????? Hata hivyo nawapongeza hawa wananchi kwa kuamua kujichukulia sheria mkononi, maana kama serikali imelala hakuna njia nyngine zaidi ya uamuzi kama huu ambao wameuchukua.

Wana JF, pale Zinga Maeneo ya Bagamoyo kuna shamba la Yona takribani eka 450, mnaonaje nasi tukutane pale tugawane?
 
MKUU HUENDA IKAWA NI HII:

Several hurt as villagers, police clash on MP’s farm in Arusha



Contacted later for comment, MP Kimaro said he suspected the villagers had been mobilised and incited into invading his property by people who want to ’’drive me off the course’’ of the fight against grand corruption.

Huyu si ndio yule mbunge aliyesimama kidedea kupeleka hoja binafsi bungeni dhidi ya BMW. Kama ni kweli basi jamaa hawa ni hatari.
 
wameru ni kibooko...nadhani wanakaribia na watu wa tarime...mnakumbuka bifu lao la mwaka 1989 ...liliwashinda wote kuanzia rais ,waziri mkuu ,wote.....walikuwa wanagombea dayosisi ya meru[sasa hivi akyoo ni askofu].....

katika mambo ambayo nchi hii hata AUGUSTINE mrema ...akionekaana kachoka namna gani ..lakini hatasahaulika ni namna alivyoweza kuumaliza ule mgogoro....nadhani watu wanaosomea diplomasia ..they neeed kuongea naye kujuwa baadhi ya mbinu alizokuwaga nazo yule mzee....MREMA Ndiye aliyemaliza mgogoro wa meru ..uliopelekea makumi ya watu kuuwana kwenye vita vya koo....nadhani hiyo ni moja ya sababu iliyomfanya mzee mwinyi ampe unaibu waziri mkuu....

...wakati mrema amepoteza mafao yake na kuishia kuishi kwa kubangaiza....kuna viongozi wengi tu ambao hawakuwa na mchango kama wake nchi hii wanatuzwa na serikali.....,anyway...we need a thread to analyse THE LEGACY OF AUGUSTINE LYATONGA MREMA.....

WATU kama huyu na wengine wengi nchi hii wanashindwa kushawishiwa kuandika vitabu ...na kupelekea nchi kupoteza uzoefu wao wa mazuri...ikiwemo utatuzi wa migogoro kama huu wa meru!!!

wameru ni wagomvi wa ardhi hata waingereza wanajuwa hilo ...hawaogopi polisi...refer enzi za kina mzee JAPHET KILIRO...ALIENDa HADI uno kudai ardhi ...na ma setler wengi waliporwa ardhi na wakoloni na wameru kurudishiwa ...historia ni historia ...ndio inayofanya maisha ya leo!

Ni aibu kwa Mtanzania wa leo kushabikia uhalifu!
 
Ni aibu kwa Mtanzania wa leo kushabikia uhalifu!

Hapo umenena.. Hivi hawa vijana wa siku hizi hawa appreciate amani ni kitu gani. Wanchukua mambo haya kimzahamzaha. Naona mpaka hapo nao yatapowakuta ndio wataelewa mob justice madhara yake ni nini. Majuto ni mjukuu..
 
vurugu_2.jpg


vurugu_1.jpg
 
Kuna tetesi kuwa kumetokea vita hapo nyumbani. Kwa waliopo hapo tafadhali tujulisheni.


Mshiiri salam,
Si vizuri kukuza matukio kilichotokea ni VURUGU si VITA japo kua kuna watu waliopoteza maisha.Tahadhari ya Ulimi husaidia kuepusha majanga yasiyotarajiwa.
 
wakiongozwa na Don wao mzee Kaaya mchawi anaenpanda fisi..lol

AAH unamkumbuka Jackson Kaaya....??? yule mzee alikuwa akiaminika sana ndani ya circle za ccm ...lakini baada ya kuongoza ile vurugu ...kila mtu alimlaani sana....mmoja wa marafiki zake wakubwa alikuwa MWALIMU.[mwalimu alipata kumzawadia kaaya landrover discovery pickup mpya ..kama yeye kwa kutambua mchango wake chamani na kutambua kuwa alistafu akiwa kawaida kabisa]..na alichukia sana

sasa hivi Kaaya anatembelea ndala...zaidi ya kupata misaada ya wanawe..system imemtema!!

mama ntilie watu hawashabikii ugomvi bali wanaongea kilichotokea....kwa tulioshuhudia ugomvi wa 1989 ...hatupendi kusikia ukijirudia...na ulianzaga kidogo kidogo namna hii!!!
 
Kuna habari kwamba polisi walifyatulia risasi zaidi ya watu watano na kwamba huenda kulikuwa na mauaji kitu ambacho hakijaripotiwa na polisi ama hata na vyombo vya habari. katika tukio hilo polisi mmoja pia anasemekana kukatwa vidole na mapanga ya wananchi hao waliokuwa na hasira.

Kwa kifupi mgogoro wa shamba hili ni wa muda mrefu sana na kwa maoni yangu ni upuuziaji wa serilkali yetu katika kushughulikia migogoro ya ardhi katika wilaya hii. laiti kama wangeshughulikia mapema kusingetokea hayo yaliyotokea jana. Na kuna habari kwamba mpango huu utakuwa wa kudumu hadi suala lao litakaposhughulikiwa.
 
Alighani MRISHO MPOTO... Migodi sita yooote ya kwangu... Ekari 100 Najiandaa kustaafu nipate mahali pa kupumzika...

Huu uvamizi ulipangwa!!!! Amini usiamini!!! Tujiulize huyu Kimaro alinunua hilo shamba mwaka gani na kwa bei ya shilingi ngapi kwa ekari moja??? Tusipende kuwa mashabiki!!! Naamini kabla Kimaro hajanunua shamba hilo, kulikuwa na mmiliki wa awali ambaye pengine alikuwa ni Mmeru??? Je sasa huyu mmiliki alilipataje shamba hilo?? Na kama alilipata kisheria ila si kwa sheria halali (kitendawili) je utaratibu ulikuwaje?? Au kama lilikuwa ni estate ya serikali basi atakuwa alilipata kwa tender?? Mbona hatujavamia Kiwira iliyouzwa kwa bei ya kutupwa??? Nakumbuka hapo nyuma nilishaandika kuwa kuna wabunge takribani 10 wanatafutwa kwa namna yoyote na mafisadi, na Kimaro ni mmowajawapo?? Kuna mipango kabambe ya kumwangusha 2010 asipate hata kupitishwa kama jina la mgombea. 2010 siyo mbali, mipango imeshaanza??

Kwa taarifa ndogo ni kuwa EL ni swahiba wa mafisadi wengi, mkubwa akiwa RA. Kimaro ni adui mmojawapo wa Mafisadi, akiwemo EL na RA. Kwani EL anatokea wapi. hapo ndiyo ngoma inachezwa, mdundiko wa kiana.

Nataka watanzania tujiulize, ni kwa nini tunakubali kuwa cheap kiasi hiki??? Ni mafisadi wangapi wame own ardhi na rasilimali lakini hawafuatwi? Nilidhani kuwa tungeanzia kwa hawa mafisadi papa kuharibu dhuluma zao ndipo tujijeukie sisi??? Au ndiyo ile ya kusema toa kwanza boriti ndani ya jicho lako ndipo utoea la mwingine, au charity begins at home, au safisha kwanza nyumba yako ili useme kuwa ya mwenzio ni chafu?? Watanzania hapa tunajidanganya?????!!!!! Wanakijiji wale watakuwa walipewa ujirra kidogo tu ili wakubali kufanya maasi!!!! Huu wote ni matokeo ya umaskini uliosababishwa na hawa hawa masisadi, wanatingisha kifimbo wewe maskini huna budi kukicheza.

Tujiulize ni mara ngapi tunaona na kusoma katika vyombo vya habari jinsi ambavyo watanzania katika makazi ya migodi au mashamba makubwa wananyanyasika na hakuna wa kuwasemea?? Tujikumbushe kidogo yanayotokea huko migodini na wale ambao wamenyang'anywa ardhi bila fidia ya maana, kila siku ni mateso tu. Kwa nini basi watanzania maskini hawajaweza kuvamiwa maeneo hayo? Simply, because the owner or shareholder ni mafisadi na fisadi hawezi kujiangamiza mwenyewe kwa kulipa maskini 500 ili wachome moto au kuharibu mali na vitendea kazi.

Siku watanzania tutaamka katika usingizi wa pono wa sasa, tutashangaa sana!!! Tutanyanyua macho, hali tutakayokutana nayo itatutisha na tutarudi usingizini (imagine mtoto anapoamka kwa kushtuka usingizini ananyanyua kichwa halafu anarudi tena kulala). Tumekwisha.

Sio kuwa cheap, ila hii ni kama msiba kutokea nyumbani kwenu tofauti na kwa jirani (Kiwira).
Kama unavyosema, upo uwezekano kwamba kuna mkono wa mtu kwenye hili tukio. Bado naamini kuna kitu kimewaumiza hawa wananchi. Sina sababu za kutosheleza kumlaumu Kimaro moja kwa moja, ila huenda amejisahau au kuchemsha sehemu fulani kwa nafasi yake ya ubunge.

Hii ndio hali halisi ya matokeo ya kuvunjwa kwa azimio la Arusha.
 
Back
Top Bottom