Hiyo namba mbili ndio balaa sana. Mtu una mguu kama muwa wa mtibwa halafu unavaa kimini daah
Amependeza,ila inaonyesha akikasirika kama ndio mkeo kaa naye mbali.Ole wako umcheke......
makovu? kuna mdada ana manyoa mguuni na vazi lake pendwa ni kimini.Hatuzungumzii miguu ya kawaida mfano demu una miguu ina makovu km jambazi sasa janani kimini tena
zamani nilikuwwa naogopa kuvaa vimini kisa mguu mbaya ila siku hizi najiachia tu tena navaa na viatu virefu.Hatuzungumzii miguu ya kawaida mfano demu una miguu ina makovu km jambazi sasa janani kimini tena