Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Wapendwa uvaaji wa suruali huku shati umechomekea kwenye chupi ni sahihi?
Kuna brazameni mmoja nilimwona kaulamba safi ila shati kachomekea kwenye chupi sasa bahati mbaya au nzuri ile chupi ikapanda juu kupitiliza mkanda nilishangaa sana je hii ni style mpya kwa mnao ulamba maana mi kuchomekea mpaka nipate mwaliko sehemu. Nakumbuka enzi zile tunakua kulikuwa na chupi zinaitwa VIP zile zilikuwa na tabia moja zinakatika kwenye maungio na kuwa kama andasketi alafu wkt unatembea inapanda juu mpaka kifuani bila wewe kujua kama chupi ipo kwenye garden love. Je ni stahiki mtu kuchomekea kwenye chupi?
Upande wa madada siku hizi kuna magauni flani hivi wao wanaita madela kama sijakosea wao wananunua dela kuuubwa utakuta nae anachomeka kwenye chupi upande wa kushoto na kulia kwa uchunguzi wangu mdogo nikabaini kuwa wanapenda maumbila ya nyuma yanajulikana kama wowowo yatune kiana nae aonekane mashaallah Mungu kamjalia maana toka nianze uchunguzi sijaona wale walio jaliwa hayo mawowowo wakifanya hivyo.
Kuna brazameni mmoja nilimwona kaulamba safi ila shati kachomekea kwenye chupi sasa bahati mbaya au nzuri ile chupi ikapanda juu kupitiliza mkanda nilishangaa sana je hii ni style mpya kwa mnao ulamba maana mi kuchomekea mpaka nipate mwaliko sehemu. Nakumbuka enzi zile tunakua kulikuwa na chupi zinaitwa VIP zile zilikuwa na tabia moja zinakatika kwenye maungio na kuwa kama andasketi alafu wkt unatembea inapanda juu mpaka kifuani bila wewe kujua kama chupi ipo kwenye garden love. Je ni stahiki mtu kuchomekea kwenye chupi?
Upande wa madada siku hizi kuna magauni flani hivi wao wanaita madela kama sijakosea wao wananunua dela kuuubwa utakuta nae anachomeka kwenye chupi upande wa kushoto na kulia kwa uchunguzi wangu mdogo nikabaini kuwa wanapenda maumbila ya nyuma yanajulikana kama wowowo yatune kiana nae aonekane mashaallah Mungu kamjalia maana toka nianze uchunguzi sijaona wale walio jaliwa hayo mawowowo wakifanya hivyo.