Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Heri uwe Mhalifu kuliko kuwa raia mwema. Hii imethibitika jana bungeni wakati wa mawasilisho ya bajeti mbadala ya Ofisi ya Rais, Menejiment na Utumishi wa Uma iliyowasilishwa na Bi Suzan Lyimo.
Ikiwa Mtumishi wa uma wa kima chini analipwa mshahara wa Tsh.135000/- per month hii ni sawa na kutumia Tsh.750/- per day kwa familia yenye watu 6(yaan Baba, Mama, Watoto 4) wakati mfungwa mmoja bajeti yake ni Tsh.2400/- per day.
Inauma sana. Hakika Sisi Watanzania Tumelaaniwa.
Ikiwa Mtumishi wa uma wa kima chini analipwa mshahara wa Tsh.135000/- per month hii ni sawa na kutumia Tsh.750/- per day kwa familia yenye watu 6(yaan Baba, Mama, Watoto 4) wakati mfungwa mmoja bajeti yake ni Tsh.2400/- per day.
Inauma sana. Hakika Sisi Watanzania Tumelaaniwa.