ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
NIlikuwa najaribu kufuatilia uhai wa kijana wetu Nondo Boy, kujua kama bado anaweza kujumuika nasi katika kutupa hatima ya michubuko aliyoipata baada ya tendo hilo la ndoa (hakueleza alilifanya kwa kiknga au lah)... Ila inaonekana amekuwa kimya muda mrefu na katika hili jukwaa ametumika si zaidi ya mara tatu tu na mara ya mwisho ni mwezi wa Machi mwaka wa Jana (2009) alipo "edit" thread yake!.
Kama post zake zinavyojieleza hapa, amekuwa mchangiaji mzuri zaidi kwenye masuala ya mapenzi na mahusiano na sio nyanja nyingine. Kwa hili nampongeza sana na kumwomba arejee barazani kuendelea kutupa uzoefu wake kwenye mambo zaidi ya haya.
6th August 2007, 11:0
NondoBoy [: ilidondokea mdomoni tu,. mimba, inaweze
[/quote]
Kama post zake zinavyojieleza hapa, amekuwa mchangiaji mzuri zaidi kwenye masuala ya mapenzi na mahusiano na sio nyanja nyingine. Kwa hili nampongeza sana na kumwomba arejee barazani kuendelea kutupa uzoefu wake kwenye mambo zaidi ya haya.
NondoBoy [: ilidondokea mdomoni tu,. mimba, inaweze
Kidzogolae,
Mimba hiyo inaweza ikawa sio yako kama huyu mwanamke alifanya ngono nawe siku ambayo ilikua siyo ya hatari. Je, ulimuuliza kuhusu tarehe zake kabla hujafanya nae ngono?
26th July 2008, 02:58 P
Uume Wangu Umechubuka Baada ya Ngono
NondoBoy.
Kuna mwanamke ambae nimeanza mahusiano ya kingono nae jana usiku. Tulikwenda gesti kutenda hilo jambo. Sasa kinachoshangaza ni kwamba kabla ya bao la kwanza uume wangu ulianza kujihisi kama vile umechubuka. Demu mwenyewe alikua mkavu kidogo ukeni, nikajaribu kutemea mate ili alainike lakini baada ya mda mfupi ukavu unarudi pale pale na mimi ndio nazidi kuchubuka. Baada ya bao la kwanza, nilikuta tayari kaloa nilipo ingia mara ya pili. Lakini haikudumu. Ni kama vile huyu demu hana unyevu wake mwenyewe wakati anapojamiiana na mwanaume. Sasa leo, maumivu ya mchubuka yametulia, kwahiyo nahisi sii tatizo la kudumu na wala sii gonjwa la zinaa. Ni mara ya kwanza mimi kufanya ngono na mwanamke ambae haloi ukeni ipasavyo. Je, unaweza kunishauri vipi kuhusu hili tatizo na jinsi ya kulitatua?
Last edited by NondoBoy; 9th March 2009 at 09:01 PM..
[/quote]
Kama yupo angeweza kuja kuvunja ukimya...kwani pengine ametoa maoni ya kupinga umuhimu wa kondomu kwenye dhana nzima ya kuzuia UKIMWI.... Na katika hii Thread yake, emekuwa wazi kwa haya maelezo "Sasa leo, maumivu ya mchubuka yametulia, kwahiyo nahisi sii tatizo la kudumu na wala sii gonjwa la zinaa. Ni mara ya kwanza mimi kufanya ngono na mwanamke ambae haloi ukeni ipasavyo. Je, unaweza kunishauri vipi kuhusu hili tatizo na jinsi ya kulitatua?"
Kwa maana nyingine, ombi lake ni kusaidiwa kutatua tatizo la kumfanya mwanamke alowe wakati wa tendo la kujamiiana na sio kuhusu michubuko aliyoipata. Hajaelezea alikuatana vipi na huyo mwanamke na je, ni wa muda au aliamua wawe marafiki nk.
Sina sababu ya kumhukumu kwa kuruhusu uume wake uchubuke (hajasema kama hakutumia mpir), lakini najua wengi wetu tupo hivyo na tunayoyohubiri hatuyatekelezi tukiwa sirini. Hii inatokana na usiri wa tend la ndoa na hakuna ajuaye kama ulivaa au ulimshauri mwenzio avae Kondomu wakati wa kujamiiana.
Ukimwi au mimba ndi zinathibitisha iwapo ulitumia au hukutumia Kondomu. Lakini hata ikiwa hivyo, bado wengine utakuta wanazidim kujitetea kuwa "kondomu ilipasuka, au waliambukizwa kwa njia nyingine na sio kujamiiana.......TUCHUKUE TAHADHARI..kama ukifanikiwa mara moja kutopata, jaribu kujiuluza kama utarudi tena kwa staili hiyo hiyo utapona??.