STALLEY
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 619
- 206
Jamaa mmoja alikuwa anamsifu mtoto wake kuwa ana akili sababu anaharibu sana vitu nyumbani yani haipiti siku mbili lazima avunje chombo au aharibu remote control.alipoulizwa kama hiyo ni akili au ujinga akajibu ni akili kwa sababu mtoto asiyekuwa na akili hawezi kushika remote control sababu hawezi kuitumia.je jamaa yuko sahihi kuwa mtoto akiwa anaharibu haribu vitu nyumbani ni kigezo kuwa ana akili