Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Je ni haki Wauguzi kama RN kufanya kazi masaa kumi na mbili kwa siku, siku sita kwa wiki kwa mshahara wa jumla wa Tshs. 300,000.00 kwa mwezi ? Kwa hesabu za haraka haraka ni kwamba analipwa Tshs. 1,000 kwa saa (chini ya dola moja !). Hiki ni kiwango wanacholipwa Waswahili tu. Jamani napata kwi kwi kwa hasira, je tuna sheria za kazi ? (masaa 72 kwa wiki bila overtime)