Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are very right. Mi sehemu niliyokua nafanya kazi nilipata bila kumjua mtu na tulikuwa wemgi Sana.
I believe Kama you are confident na pia unajua kujieleza vizuri unapata tu kazi.
Frankly speaking nimeapply kazi za utumishi mara mbili tu...Mara ya kwanza mwaka juzi na Mara ya pili last month ndio nasubir shortlisting.
Was very negative until one of my friends alipopaya bila hata ya kushikwa mkono.
Ile wizara ndi inaongoza kwa semina na safari ili wapate posho hadi hospitali za wilaya na mikoa zilizo chini ya halmashaur safari nje nje yani kule nahisi hata messenger anatrip za per diem lol!
Me huo upositive pia nilianza upata since na join chuo nilipoona bro wangu kapata then namaliza mwingine nae akapata hukohuko utumishi pia me mwenyewe nilivyo pata kazi soon after university b4 graduation bila hata kumjua mtu na nilivyowaona friends of mine wakipata taasisi nyingine kama TRA,PWC n.k bila kumjua mtu. Its possible if you are positive hata kama hayo yapo but tusiassume kuwa 100% na kutothubutu na kujiamini wenyewe.
Huo mshahara utaishije nao?sh 10000 unit 8 za umeme nauli mwenge tegeta 1000 jioni
Njoo jangwani na Tandale kwa mtogole/kwa tumbo
Ichana maisha yamezidi kua magumu tuombe MunguTutapata tu ICHANA na utasahau Kama umepitia Shida.
Ichana maisha yamezidi kua magumu tuombe Mungu
Acheni utani tunaomba DEADLINE za ukweli wana Jamvi.
Ichana maisha yamezidi kua magumu tuombe Mungu