Seto
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 953
- 53
Kutokana na nayoona niwepo mazingira ya hospitali nimeona kuwa mwajiriwa wa serikali katika kada za afya tena akiwa wale wa ngazi za chini wanapata haya:-
1. Wanasiasa na watumishi wa serikali wa ngazi za juu huwakandamiza na kuwashurutisha LENGO IKIWA WAO WONEKANE WASAFI NA KUBEMBELEZA KURA KWA WANANCHI.
2. Wananchi wanaohudumiwa nao huwashutumu kwa kutopata huduma bora ikiwa hata hivyo vifaa havipo.
3. Waandishi wa habari hutafuta visa na vyengine hata vya kutunga ili WAUZE MAGAZETI YAO.
1. Wanasiasa na watumishi wa serikali wa ngazi za juu huwakandamiza na kuwashurutisha LENGO IKIWA WAO WONEKANE WASAFI NA KUBEMBELEZA KURA KWA WANANCHI.
2. Wananchi wanaohudumiwa nao huwashutumu kwa kutopata huduma bora ikiwa hata hivyo vifaa havipo.
3. Waandishi wa habari hutafuta visa na vyengine hata vya kutunga ili WAUZE MAGAZETI YAO.