Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,157
Nimepata kusikia kuwa mizizi yoyote itumikayo kama dawa, pamoja na kutibu ugonjwa husika, pia huimarisha misuli (dauble advantage), je kuna ukweli wowote?? Na kama zinafaida, kwanini watu wengi hubeza dawa za kimasai ambazo asilimia kubwa ni mizizi?? Pia kama zina madhara, ni yapi hayo?? Nawasilisha kwa wataalam, naamin humu wapo madokta waliosomea vitu mbalimbali, naomba kufahamu kwani kuna tatizo linanisibu na wengi wananielekeza mizizi, naogopa isijekuwa inaondoa tatizo kwa mda,then linajirudia kama mwanzo. Daima JamiiForum imekuwa msaada kwa jamii!