Utumiaji wa dawa asili za mizizi, je unaathari yoyote kiafya??

Uncle Jei Jei

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
1,684
2,157
Nimepata kusikia kuwa mizizi yoyote itumikayo kama dawa, pamoja na kutibu ugonjwa husika, pia huimarisha misuli (dauble advantage), je kuna ukweli wowote?? Na kama zinafaida, kwanini watu wengi hubeza dawa za kimasai ambazo asilimia kubwa ni mizizi?? Pia kama zina madhara, ni yapi hayo?? Nawasilisha kwa wataalam, naamin humu wapo madokta waliosomea vitu mbalimbali, naomba kufahamu kwani kuna tatizo linanisibu na wengi wananielekeza mizizi, naogopa isijekuwa inaondoa tatizo kwa mda,then linajirudia kama mwanzo. Daima JamiiForum imekuwa msaada kwa jamii!
 
Nimepata kusikia kuwa mizizi yoyote itumikayo kama dawa, pamoja na kutibu ugonjwa husika, pia huimarisha misuli (dauble advantage), je kuna ukweli wowote?? Na kama zinafaida, kwanini watu wengi hubeza dawa za kimasai ambazo asilimia kubwa ni mizizi?? Pia kama zina madhara, ni yapi hayo?? Nawasilisha kwa wataalam, naamin humu wapo madokta waliosomea vitu mbalimbali, naomba kufahamu kwani kuna tatizo linanisibu na wengi wananielekeza mizizi, naogopa isijekuwa inaondoa tatizo kwa mda,then linajirudia kama mwanzo. Daima JamiiForum imekuwa msaada kwa jamii!
Ni tatizo gani hilo linalokusibu? si ungesema tu pengine ungehitaji mazoezi tu, anyway usihofu mzizimkavu atakuja siyo muda, subiri hapo hapo katika bench kaenda kunywa maji.
 
Tafuta kitabu au google neno " PHARMACOGNOSY" utaelewa vizuri zaidi.

Mimea mingi tuseme mimea ina therapeutic effects katika aidha magome, majani ama mizizi. Hi inakuwa na alkaloids ama glycosides ambazo kutegemea na content ya dawa iliyomo inaweza kuwa na madhara au siyo na yakatibu ama kuharibu katika concentration fulani.
 
Mkuu kuna tawi la kemia linaitwa phytochemistry na uzoefu unaonyesha kwenye miti iwe mzizi, stem au majani kuna aina mbalimbali za chemical compounds kufikia hata mamia!! Kwenye mti mmoja na kwa wingi tofauti.
Tatizo lako linaweza kuwa linatibiwa na mojawapo tu ya compounds iliyomo (dawa) kwenye mzizi, lakini sasa kwa kuwa haijawa extracted inabidi unywe na zile compoun zingine ambazo kwa kweli huzihitaji na nyingine ni SUMU.
Matokeo yake ni kwamba unaweza kuathiri ini lako.
Dawa za hospitali huwa zimeshafanyiwa utafiti wa kutosha na ni ile dwa unayohitaji tu ndio unapewa.
Sipingi mizizi lakini ujue pia kun risk ya aina fulani.
Nakutakia matibabu mema.
 
Ni tatizo gani hilo linalokusibu? si ungesema tu pengine ungehitaji mazoezi tu, anyway usihofu mzizimkavu atakuja siyo muda, subiri hapo hapo katika bench kaenda kunywa maji.
@fadhili paulo Mkuu asante kwa kunisaidia nilikuwa sipo ninaswali sasa nimesha maliza maombi yangu. Ni kuwa inategemea ni mzizi gani unaotaka kutumia wewe na je kwa maradhi gani

yaliyokusibu wewe mpaka ukapewa ushauri wa kwenda kutumia dawa za mizizi za Wamasai? kama alivyo kuuliza swali Mkuu Fadhili Paulo na mimi nimekuuliza hivyo hivyo swali langu naomba unijibu. Zipo baadhi dawa za mizizi yenye sumu haifai kuwa ni dawa. Kwa Ushauri

wangu unapokuw ana Maradhi kwanza nenda hospitali kafanye uchunguzi kw akina kisha tumia dawa za Hospitali ukiona hujapona njoo hapa ueleze matatizo yako utajibiwa na kupewa ushauri na kupona akipenda Mwenyeezi Mungu.

Mkuu kuna tawi la kemia linaitwa phytochemistry na uzoefu unaonyesha kwenye miti iwe mzizi, stem au majani kuna aina mbalimbali za chemical compounds kufikia hata mamia!! Kwenye mti mmoja na kwa wingi tofauti.
Tatizo lako linaweza kuwa linatibiwa na mojawapo tu ya compounds iliyomo (dawa) kwenye mzizi, lakini sasa kwa kuwa haijawa extracted inabidi unywe na zile compoun zingine ambazo kwa kweli huzihitaji na nyingine ni SUMU.
Matokeo yake ni kwamba unaweza kuathiri ini lako.
Dawa za hospitali huwa zimeshafanyiwa utafiti wa kutosha na ni ile dwa unayohitaji tu ndio unapewa.
Sipingi mizizi lakini ujue pia kun risk ya aina fulani.
Nakutakia matibabu mema.
@Fofader Mkuu jaribu uwe mkweli unachozungumza Dawa nyingi za Hospitali zina madhara kwa mwili wa binadamu kuliko Dawa za mizizi za kienyeji. Fanya utafiti kisha uzungumze sio kuponda dawa zetu za asili mkuu jaribu kuwa ni mkweli.
 
Mkuu kuna tawi la kemia linaitwa phytochemistry na uzoefu unaonyesha kwenye miti iwe mzizi, stem au majani kuna aina mbalimbali za chemical compounds kufikia hata mamia!! Kwenye mti mmoja na kwa wingi tofauti.
Tatizo lako linaweza kuwa linatibiwa na mojawapo tu ya compounds iliyomo (dawa) kwenye mzizi, lakini sasa kwa kuwa haijawa extracted inabidi unywe na zile compoun zingine ambazo kwa kweli huzihitaji na nyingine ni SUMU.
Matokeo yake ni kwamba unaweza kuathiri ini lako.
Dawa za hospitali huwa zimeshafanyiwa utafiti wa kutosha na ni ile dwa unayohitaji tu ndio unapewa.
Sipingi mizizi lakini ujue pia kun risk ya aina fulani.
Nakutakia matibabu mema.

mkuu nashukuru kwa maelezo yako mazuri, vipi kuhusu mizizi kuwa na uwezo wa kuimarisha misuli ya mwili kwa ujumla?? Huo uwezekano upo??
 
Mkuu kuna tawi la kemia linaitwa phytochemistry na uzoefu unaonyesha kwenye miti iwe mzizi, stem au majani kuna aina mbalimbali za chemical compounds kufikia hata mamia!! Kwenye mti mmoja na kwa wingi tofauti.
Tatizo lako linaweza kuwa linatibiwa na mojawapo tu ya compounds iliyomo (dawa) kwenye mzizi, lakini sasa kwa kuwa haijawa extracted inabidi unywe na zile compoun zingine ambazo kwa kweli huzihitaji na nyingine ni SUMU.
Matokeo yake ni kwamba unaweza kuathiri ini lako.
Dawa za hospitali huwa zimeshafanyiwa utafiti wa kutosha na ni ile dwa unayohitaji tu ndio unapewa.
Sipingi mizizi lakini ujue pia kun risk ya aina fulani.
Nakutakia matibabu mema.

mkuu nashukuru kwa maelezo yako mazuri, vipi kuhusu mizizi kuwa na uwezo wa kuimarisha misuli ya mwili kwa ujumla?? Huo uwezekano upo??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom