Utulivu na wema wetu vinageuka kiama chetu

The Quonquerer

JF-Expert Member
May 14, 2009
777
111
Utulivu na wema wetu vinageuka kiama chetu

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Na Prudence Karugendo

WATANZANIA tumekuwa watulivu muda wote.

Pamoja na utulivu huo unaotufanya tuishi kama watoto wa familia moja tukiwa hatubaguani kwa misingi ya ukabila, nchi yetu ndiyo inaongoza kwa wingi wa makabila barani Afrika. Pia sisi ni watu tusiojua kuwabagua wageni. Wageni wanaipenda Tanzania si kwa uzuri wa mandhari na utajiri wake tu bali pia kwa wema wa watu wake ambao lakini hao wageni wameishauona kama ujinga.

Ni kwamba kitu chochote kinapokithiri huleta picha isiyopendeza, wema wetu ni kama umekithiri pengine ndiyo maana wageni wametokea kuuona wema huo kama ujinga. Hawatamki hadharani kuwa Watanzania ni wajinga ila matendo yao yanatamka bila kificho.

Inapofikia mtu anakufanyia ushenzi wa wazi na wa makusudi kabisa, tena nyumbani kwako, lakini wewe ukiwa unajitahidi kwa nguvu zako zote kumuonyesha uungwana yeye atakachokuwa anakiona kwako si uungwana wako bali ujinga wako.

Na ukishakuwa mjinga mambo yako yote yataenda kiujingaujinga, na ni nadra sana kufanikisha jambo lolote katika hali ya ujingaujinga. Kwahiyo tunaposhangaa ni kwa nini mambo yetu hayafanikiwi, kwa nini tunakuwa masikini wakati nchi yetu imejaa utajiri unaonuka, tusisahau kulitizama hilo badala ya kuwaachia waganga wa kienyeji watutafutie sababu zao za kughushi ili kujiimarishia biashara zao.

Ni kwamba wema wetu umegeuka laana kwetu. Nasema laana kwa vile unatudhohofisha sisi huku ukiwanufaisha wageni. Wageni, hasa wenye ngozi nyeupe, wamejinufaisha sana na hulka hiyo ya Watanzania. Hebu tazama wageni hasa wa kutoka nje ya Afrika wanavyositarehe kwenye nchi yetu isiyo na ubaguzi. Wanapata kila haki wanayoipata wenyeji ila wao wakiwa na fungu la ziada kama haki ya ugeni wao. Katika dunia nzima fungu hilo liko Tanzania peke yake.

Kwingineko mwenyeji ndiye anayepaswa kuwa na fungu la ziada. Hapa kwetu hali imetengenezwa mahsusi kuwakumbatia wageni bila kujali kama inawatelekeza wenyeji ilmradi tu kuendeleza mwonekano wa wema wetu!

Sasa imefikia wakati wa hao wageni kutufanyia, sisi wenyeji, ubaguzi ndani ya nchi yetu huku sisi tukihimizana kutowasema lolote ili tusije tukaonekana ni wabaguzi wa rangi! Kama hiyo si laana ni kitu gani? Mfano kuna shule nyingi hapa nchini ambazo ni kwa ajiri ya watoto wa Kihindi pekee.

Nadhani shule hizo zimesajiliwa na serikali inazitambua. Lakini inakatazwa kabisa kuzinyooshea kidole, maana eti kwa kufanya hivyo ni kuamsha hisia za ubaguzi wa rangi. Wao wana haki ya kutubagua na sisi tuna haki ya kuuheshimu ubaguzi huo wanaotufanyia kwa kujifanya hatuuoni japo tunaelewa hatuwezi kujichanganya nao.

Tuseme mimi nikianzisha shule na kusema ni ya Wahaya watupu nadhani itafungiwa siku hiyohiyo, au nikifungua shule yenye viashirio vya kwamba watoto wanaotakiwa ni weusi tu lazima itapigwa vita kwa kisingizio cha kwamba inaleta ubaguzi wa rangi.

Vile vile nikiuliza kwamba mbona kuna shule fulani wanasoma Wahindi watupu bilashaka nitakemewa mimi muuliza swali kwamba nauliza swali lenye dalili za ubaguzi wa rangi. Lakini ukweli wa kwamba zipo shule za aina hiyo hauonekani kuleta mashaka ya kwamba kuna ubaguzi wa rangi unaoendelea.

Sisi kwetu ubaguzi wa rangi ni pale mwenye ngozi nyeusi anapomsema mwenye ngozi nyeupe, ila mwenye ngozi nyeupe ana haki ya kufanya lolote dhidi ya ngozi nyeusi bila suala la ubaguzi wa rangi kutiliwa maanani.

Tumeshasema hatutabagua hata kama tutabaguliwa. Kwahiyo kubaguliwa hata ndani ya ardhi yetu kwetu sawa ilmradi sisi hatuonyeshi ubaguzi! Nasema huu ni ugonjwa ambao wataalamu wa magonjwa ya akili inabidi waufanyie kazi.

Ni vizuri sisi hatubagui mtu yeyote kulingana na rangi yake japo sisi tunakumbana nao ubaguzi wa aina hiyo wakati mwingine tunapotembelea nchi za watu. Lakini kukubali kubaguliwa na wageni ndani ya ardhi yetu ni laana ambayo hata Mwenyezi Mungu hawezi kuisamehe.

Hebu tuangalie, tukiziondoa nchi zilizovamiwa kama ilivyokuwa Afrika Kusini na sasa Marekani na nyingine za aina hiyo, ni nchi gani nyingine ambayo mgeni anaruhusiwa kuwa mtunga sheria kwa maana ya kuwa mbunge? Tutofautishe na Uingereza na pengine Ufaransa nchi ambazo kutokana na kupenda kuvamia nchi nyingine na kutawala kuliwafanya wale waliokuwa wanatawaliwa kujiona nao wana asili ya nchi zile zilizowatawala. Kwa hiyo, siwezi kushangaa kukuta watu wasio na asili ya kweli ya nchi zile wakiwa watunga sheria wa nchi zile. Hayo yatakuwa ni makosa ya nchi zenyewe yaliyo katika historia.

Vikwazo katika njia yetu ya kuelekea kwenye maendeleo ni vingi, kimojawapo ni hiki cha kukosa kuwa na uchungu na kilicho chetu. Mara nyingi inasemwa mifano inayoonyesha kuwa sisi Tanzania hatupigi hatua ya maendeleo tukilinganishwa na nchi kama India, China, Korea na kadhalika.

Ni vigumu kabisa kujifananisha na nchi zile kwa sababu nchi zile zina wenyewe. India ni ya Wahindi, China ni ya Wachina na Korea ni ya Wakorea. Ni vigumu kukuta watu wasiokuwa wa asili ya nchi zile wakiwa ni sehemu ya wapanga mikakati ya maendeleo ya nchi husika.

Haijatokea ukawepo uaminifu kwa watu wenye asili ya nje ya nchi zile kukabidhiwa majukumu nyeti kama hayo ya kuziletea maendeleo. Tofauti na hao sisi tunawaamini sana watu wenye asili ya nje, wamo kwenye Bunge letu, serikalini na hata kwenye sehemu nyingine nyeti. Kisha tunaanza kutafuta mchawi anayeyafanya maendeleo yetu yakagota.

Kwa nini hatujiulizi kwamba iweje India, Korea au China, nchi zinazopangiwa mikakati ya maendeleo na watu wenye asili ya nchi zile ziwe na kasi sawa ya maendeleo na Tanzania inayopangiwa mikakati ya maendeleo na watu wenye asili ya kwingine? Mfano inapotokea waziri wa fedha wa Tanzania ni Mhindi wakati waziri wa fedha wa India naye ni Mhindi tunatarajia nini?

Mhindi wa kwetu aiwezeshe nchi ya ugenini kuwa na uchumi mzuri kuuzidi ule wa nyumbani kwao unaoongozwa na ndugu yake? Hivi kweli hilo nalo linahitaji shahada ya chuo kikuu ili kuweza kulitafakari na kulijua undani wake?

Sisemi kuwa tuwabague hawa wageni, hapana, ila nasema tuwe waangalifu ili wema wetu usiendelee kugeuka kuwa ujinga. Tujenge tabia ya uzalendo ulio na miiko, tuseme ni mwiko kwa kitu fulani kuendeshwa kwa namna fulani. Tusiiache nchi yetu kuwa kama nyumba ya wageni (guest house) ambayo kila mwenye hela anakuwa mwenyeji.

Nchi yetu tuifanye kama nyumba iliyo na wenyewe, nyumba ambayo hata kama wageni wanaruhusiwa kuingia lakini mwisho wao ni sebuleni. Nyumba yenye hadhi yake daima huwa vile.

Mfano mzuri ni wa India. Wahindi wawe na matatizo yao wao wanaamini wenye jukumu la kuyashughulikia ni wao na si mtu mwingine kutoka nje ya India. Nchini mle kuna familia iliyoheshimiwa na kupendwa sana na Wahindi, familia ya Gandhi. Alipouawa Rajiv Gandhi, aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa nchi ile, wanachama wa chama chake cha Congress wakampendekeza mke wake, Sonia Gandhi, awe kiongozi wao. Chama chao kiliposhinda Uchaguzi Mkuu mwanamke yule alitahadharishwa na waliomtakia mema kutoukubali Uwaziri Mkuu kwa sababu ya asili yake ya Italia ambayo si ajabu ikawa ndiyo chanzo cha kifo cha mume wake aliyependwa sana na Wahindi. Asili hiyo ya nje ni matusi sana kwa Wahindi katika nafasi kama ile ya Waziri Mkuu. Wanajali kilicho chao, na ni rahisi wao kupiga hatua ya maendeleo.

Kwetu hilo la asili ya nje halionekani kuwa tatizo. Na katika hali ilivyo ni lazima siku moja tutakuja kupata rais Mhindi au Mwarabu. Na ikumbukwe watu wenye ngozi nyeupe wamebarikiwa kitu kimoja, kutopasahau kwao. Hapo ndipo tukae tufikirie jinsi ambavyo Tanzania inayoongozwa na Mhindi inavyoweza kupiga hatuwa sawa ya maendeleo kama India inayoongozwa na Mhindi asilia.

Tukirudi kwenye ubaguzi, sitaki nionekane nabagua na kuwa kama Mandela aliyefungwa kwa karibu miaka 30 kisa eti ni kuhoji uhalali wa ubaguzi aliokuwa anafanyiwa ndani ya ardhi yake.

Katika enzi za ukoloni nchi yetu ilikuwa inatengwa katika matabaka matatu, Uzunguni, Uhindini na Uswahilini. Baada ya uhuru hayo matabaka tuliyafuta, nasi tukakuvamia Uzunguni na hata Uhindini, lakini bila kuwafanyia bughudha yoyote wenzetu hao. Tulitaka kuwaonyesha kuwa binadamu wote ni sawa.

Tukataka tuishi sote bila kubaguana. Lakini cha kushangaza wenzetu Wahindi hilo hawakulitaka. Bado waliendelea kung’ang’ania katika ngome zao, Uhindini. Ni kitu gani kinachowafanya wasijichanganye na sisi kama kweli wanajihisi ni Watanzania wenzetu? Bilashaka ni ubaguzi wa rangi.

Nichukue mfano wa Jiji la Dar es salaam ambalo nadhani ndilo lenye idadi kubwa ya Watanzania wenye asili ya Kihindi kuliko sehemu nyingine hapa nchini. Wahindi wote wanakaa sehemu za Uhindini, sijaona aliyejenga sehemu za Uswahilini kama Tabata, Segerea, Kinyerezi, Kisukuru na kwingineko.

Wao muda wote wanakaa mkao wa kuondoka wakiwa wamejibana kwenye nyumba za kupanga za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Pamoja na kwamba wengi wao ni mamilionea hawataki kabisa kujenga nyumba zao za kudumu pengine kwa kuelewa kwamba hapa si kwao na wana kwao.

Tabia hiyo ya ubaguzi waliyo nayo ndugu zetu hao inayoanzia katika kukataa kujichanganya nasi kwenye makazi hadi kufikia kukataa kuoleana nasi ni lazima itufundishe kitu fulani. Siyo tuwaachie kuitamani tu nchi yetu bila kuwatamani watu wake halafu eti tuwaachie wawe wawakilishi wetu bungeni na baadaye kujipenyeza kwenye serikali yetu. Inabidi tujiulize, unawawakilishaje wananchi husiotaka kuishi wala kujichanganya nao?

Mama mmoja wa Kihindi aliyeishi Bukoba kwa karibu maisha yake yote na kuwa kipenzi cha Wahaya wakimwona kama ndugu yao, Mama Kheru, aliishia kufanya kitu kimoja tu kama zawadi na heshima yake kwa Wahaya, kukubali kumpa mtoto wake jina la Kihaya, Kamugisha.

Lakini Wahaya wakaja kushangaa kuona yule mama alipokaribia kufa anaondoka kwenda kufia kwao India. Mtu kwao! Inafaa wenzetu hawa tuishi nao vizuri ila tusikubali kwa wakati huu watufanyie ubaguzi ndani ya ardhi yetu na iwe nongwa sisi tukiwasema kwa uchafu wao huo. Watanzania tusipoangalia wema wetu utageuka sasa kuwa kiama chetu
[/FONT]​



Kama hiyo haitoshi, Wakikuyu na Wajaluo yaani kina N nao wanakuja kwa kasi! Hata Wanyarwanda na Warundi..wote msafara ni mmoja, kuelekea Bongo! Tunasema hatutaki..tukatae! Hatuwahitaji! Tanzania ni ya Watanzania! Ina wenyewe! We need to flush them out before it's too late! Ujirani mwema unatosha!
 
acha ubaguzi wewe..kama hupendi kuona amani tuliyonayo nenda somalia ukaishi
 
Yaaawwwnnnn... a very long, boring article.. just wasted 10 mins of my life reading this crap.. NKT..
I have a suggestion, build a wall- like the great wall of China- to surround the whole of Tanzania so that you stop whinning like little girls when foreigners are making good money in your country while you stay being broke despite the fact that you have vast mineral deposits,..
 
acha ubaguzi wewe..kama hupendi kuona amani tuliyonayo nenda somalia ukaishi

Yeah, it may be a good point: Lakini je, si kwamba kwa kuruhusu wakimbizi wa umaskini bila maandalizi na taratibu wakati huna kazi za kuwapa, si kwamba unatengeneza ya Somalia usiyoyataka! Una hospitali za kuwatibu, uko tayari kuwagawia ardhi walime, maana ndiyo shida yao. Can poverty be shared?
 
Yaaawwwnnnn... a very long, boring article.. just wasted 10 mins of my life reading this crap.. NKT..
I have a suggestion, build a wall- like the great wall of China- to surround the whole of Tanzania so that you stop whinning like little girls when foreigners are making good money in your country while you stay being broke despite the fact that you have vast mineral deposits,..


I am only obliged to be fair to Nyang'aus..ooh sorry Kenyans as people but not loving them. Love is a courtesy and TZ has nothing in common with you!
 
acha ubaguzi wewe..kama hupendi kuona amani tuliyonayo nenda somalia ukaishi


kweli weye Boflo!

Kuna shule ipo pale jirani na Olympio primary ; sijui ndio Al qaeda ?? yaani closed gates na ni kwa ajili ya jamii hizo hizo za kihindi
 
icon13.png
thats why as we invest there we are very carefull , everyone knows that u guys are lazy ! I hear the law now wll take care of all E africans just like natives! Niko macho by the way where is your village? I think there is potential to sell 'air' there!
icon6.png
 
Utulivu na wema wetu vinageuka kiama chetu

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Na Prudence Karugendo [/FONT]​

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]WATANZANIA tumekuwa watulivu muda wote. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Pamoja na utulivu huo unaotufanya tuishi kama watoto wa familia moja tukiwa hatubaguani kwa misingi ya ukabila, nchi yetu ndiyo inaongoza kwa wingi wa makabila barani Afrika. Pia sisi ni watu tusiojua kuwabagua wageni. Wageni wanaipenda Tanzania si kwa uzuri wa mandhari na utajiri wake tu bali pia kwa wema wa watu wake ambao lakini hao wageni wameishauona kama ujinga. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Ni kwamba kitu chochote kinapokithiri huleta picha isiyopendeza, wema wetu ni kama umekithiri pengine ndiyo maana wageni wametokea kuuona wema huo kama ujinga. Hawatamki hadharani kuwa Watanzania ni wajinga ila matendo yao yanatamka bila kificho. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Inapofikia mtu anakufanyia ushenzi wa wazi na wa makusudi kabisa, tena nyumbani kwako, lakini wewe ukiwa unajitahidi kwa nguvu zako zote kumuonyesha uungwana yeye atakachokuwa anakiona kwako si uungwana wako bali ujinga wako. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Na ukishakuwa mjinga mambo yako yote yataenda kiujingaujinga, na ni nadra sana kufanikisha jambo lolote katika hali ya ujingaujinga. Kwahiyo tunaposhangaa ni kwa nini mambo yetu hayafanikiwi, kwa nini tunakuwa masikini wakati nchi yetu imejaa utajiri unaonuka, tusisahau kulitizama hilo badala ya kuwaachia waganga wa kienyeji watutafutie sababu zao za kughushi ili kujiimarishia biashara zao. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Ni kwamba wema wetu umegeuka laana kwetu. Nasema laana kwa vile unatudhohofisha sisi huku ukiwanufaisha wageni. Wageni, hasa wenye ngozi nyeupe, wamejinufaisha sana na hulka hiyo ya Watanzania. Hebu tazama wageni hasa wa kutoka nje ya Afrika wanavyositarehe kwenye nchi yetu isiyo na ubaguzi. Wanapata kila haki wanayoipata wenyeji ila wao wakiwa na fungu la ziada kama haki ya ugeni wao. Katika dunia nzima fungu hilo liko Tanzania peke yake. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Kwingineko mwenyeji ndiye anayepaswa kuwa na fungu la ziada. Hapa kwetu hali imetengenezwa mahsusi kuwakumbatia wageni bila kujali kama inawatelekeza wenyeji ilmradi tu kuendeleza mwonekano wa wema wetu! [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Sasa imefikia wakati wa hao wageni kutufanyia, sisi wenyeji, ubaguzi ndani ya nchi yetu huku sisi tukihimizana kutowasema lolote ili tusije tukaonekana ni wabaguzi wa rangi! Kama hiyo si laana ni kitu gani? Mfano kuna shule nyingi hapa nchini ambazo ni kwa ajiri ya watoto wa Kihindi pekee. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Nadhani shule hizo zimesajiliwa na serikali inazitambua. Lakini inakatazwa kabisa kuzinyooshea kidole, maana eti kwa kufanya hivyo ni kuamsha hisia za ubaguzi wa rangi. Wao wana haki ya kutubagua na sisi tuna haki ya kuuheshimu ubaguzi huo wanaotufanyia kwa kujifanya hatuuoni japo tunaelewa hatuwezi kujichanganya nao. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Tuseme mimi nikianzisha shule na kusema ni ya Wahaya watupu nadhani itafungiwa siku hiyohiyo, au nikifungua shule yenye viashirio vya kwamba watoto wanaotakiwa ni weusi tu lazima itapigwa vita kwa kisingizio cha kwamba inaleta ubaguzi wa rangi. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Vile vile nikiuliza kwamba mbona kuna shule fulani wanasoma Wahindi watupu bilashaka nitakemewa mimi muuliza swali kwamba nauliza swali lenye dalili za ubaguzi wa rangi. Lakini ukweli wa kwamba zipo shule za aina hiyo hauonekani kuleta mashaka ya kwamba kuna ubaguzi wa rangi unaoendelea. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Sisi kwetu ubaguzi wa rangi ni pale mwenye ngozi nyeusi anapomsema mwenye ngozi nyeupe, ila mwenye ngozi nyeupe ana haki ya kufanya lolote dhidi ya ngozi nyeusi bila suala la ubaguzi wa rangi kutiliwa maanani. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Tumeshasema hatutabagua hata kama tutabaguliwa. Kwahiyo kubaguliwa hata ndani ya ardhi yetu kwetu sawa ilmradi sisi hatuonyeshi ubaguzi! Nasema huu ni ugonjwa ambao wataalamu wa magonjwa ya akili inabidi waufanyie kazi. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Ni vizuri sisi hatubagui mtu yeyote kulingana na rangi yake japo sisi tunakumbana nao ubaguzi wa aina hiyo wakati mwingine tunapotembelea nchi za watu. Lakini kukubali kubaguliwa na wageni ndani ya ardhi yetu ni laana ambayo hata Mwenyezi Mungu hawezi kuisamehe. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Hebu tuangalie, tukiziondoa nchi zilizovamiwa kama ilivyokuwa Afrika Kusini na sasa Marekani na nyingine za aina hiyo, ni nchi gani nyingine ambayo mgeni anaruhusiwa kuwa mtunga sheria kwa maana ya kuwa mbunge? Tutofautishe na Uingereza na pengine Ufaransa nchi ambazo kutokana na kupenda kuvamia nchi nyingine na kutawala kuliwafanya wale waliokuwa wanatawaliwa kujiona nao wana asili ya nchi zile zilizowatawala. Kwa hiyo, siwezi kushangaa kukuta watu wasio na asili ya kweli ya nchi zile wakiwa watunga sheria wa nchi zile. Hayo yatakuwa ni makosa ya nchi zenyewe yaliyo katika historia. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Vikwazo katika njia yetu ya kuelekea kwenye maendeleo ni vingi, kimojawapo ni hiki cha kukosa kuwa na uchungu na kilicho chetu. Mara nyingi inasemwa mifano inayoonyesha kuwa sisi Tanzania hatupigi hatua ya maendeleo tukilinganishwa na nchi kama India, China, Korea na kadhalika. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Ni vigumu kabisa kujifananisha na nchi zile kwa sababu nchi zile zina wenyewe. India ni ya Wahindi, China ni ya Wachina na Korea ni ya Wakorea. Ni vigumu kukuta watu wasiokuwa wa asili ya nchi zile wakiwa ni sehemu ya wapanga mikakati ya maendeleo ya nchi husika. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Haijatokea ukawepo uaminifu kwa watu wenye asili ya nje ya nchi zile kukabidhiwa majukumu nyeti kama hayo ya kuziletea maendeleo. Tofauti na hao sisi tunawaamini sana watu wenye asili ya nje, wamo kwenye Bunge letu, serikalini na hata kwenye sehemu nyingine nyeti. Kisha tunaanza kutafuta mchawi anayeyafanya maendeleo yetu yakagota. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Kwa nini hatujiulizi kwamba iweje India, Korea au China, nchi zinazopangiwa mikakati ya maendeleo na watu wenye asili ya nchi zile ziwe na kasi sawa ya maendeleo na Tanzania inayopangiwa mikakati ya maendeleo na watu wenye asili ya kwingine? Mfano inapotokea waziri wa fedha wa Tanzania ni Mhindi wakati waziri wa fedha wa India naye ni Mhindi tunatarajia nini? [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Mhindi wa kwetu aiwezeshe nchi ya ugenini kuwa na uchumi mzuri kuuzidi ule wa nyumbani kwao unaoongozwa na ndugu yake? Hivi kweli hilo nalo linahitaji shahada ya chuo kikuu ili kuweza kulitafakari na kulijua undani wake? [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Sisemi kuwa tuwabague hawa wageni, hapana, ila nasema tuwe waangalifu ili wema wetu usiendelee kugeuka kuwa ujinga. Tujenge tabia ya uzalendo ulio na miiko, tuseme ni mwiko kwa kitu fulani kuendeshwa kwa namna fulani. Tusiiache nchi yetu kuwa kama nyumba ya wageni (guest house) ambayo kila mwenye hela anakuwa mwenyeji. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Nchi yetu tuifanye kama nyumba iliyo na wenyewe, nyumba ambayo hata kama wageni wanaruhusiwa kuingia lakini mwisho wao ni sebuleni. Nyumba yenye hadhi yake daima huwa vile. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Mfano mzuri ni wa India. Wahindi wawe na matatizo yao wao wanaamini wenye jukumu la kuyashughulikia ni wao na si mtu mwingine kutoka nje ya India. Nchini mle kuna familia iliyoheshimiwa na kupendwa sana na Wahindi, familia ya Gandhi. Alipouawa Rajiv Gandhi, aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa nchi ile, wanachama wa chama chake cha Congress wakampendekeza mke wake, Sonia Gandhi, awe kiongozi wao. Chama chao kiliposhinda Uchaguzi Mkuu mwanamke yule alitahadharishwa na waliomtakia mema kutoukubali Uwaziri Mkuu kwa sababu ya asili yake ya Italia ambayo si ajabu ikawa ndiyo chanzo cha kifo cha mume wake aliyependwa sana na Wahindi. Asili hiyo ya nje ni matusi sana kwa Wahindi katika nafasi kama ile ya Waziri Mkuu. Wanajali kilicho chao, na ni rahisi wao kupiga hatua ya maendeleo. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Kwetu hilo la asili ya nje halionekani kuwa tatizo. Na katika hali ilivyo ni lazima siku moja tutakuja kupata rais Mhindi au Mwarabu. Na ikumbukwe watu wenye ngozi nyeupe wamebarikiwa kitu kimoja, kutopasahau kwao. Hapo ndipo tukae tufikirie jinsi ambavyo Tanzania inayoongozwa na Mhindi inavyoweza kupiga hatuwa sawa ya maendeleo kama India inayoongozwa na Mhindi asilia. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Tukirudi kwenye ubaguzi, sitaki nionekane nabagua na kuwa kama Mandela aliyefungwa kwa karibu miaka 30 kisa eti ni kuhoji uhalali wa ubaguzi aliokuwa anafanyiwa ndani ya ardhi yake. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Katika enzi za ukoloni nchi yetu ilikuwa inatengwa katika matabaka matatu, Uzunguni, Uhindini na Uswahilini. Baada ya uhuru hayo matabaka tuliyafuta, nasi tukakuvamia Uzunguni na hata Uhindini, lakini bila kuwafanyia bughudha yoyote wenzetu hao. Tulitaka kuwaonyesha kuwa binadamu wote ni sawa. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Tukataka tuishi sote bila kubaguana. Lakini cha kushangaza wenzetu Wahindi hilo hawakulitaka. Bado waliendelea kung'ang'ania katika ngome zao, Uhindini. Ni kitu gani kinachowafanya wasijichanganye na sisi kama kweli wanajihisi ni Watanzania wenzetu? Bilashaka ni ubaguzi wa rangi. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Nichukue mfano wa Jiji la Dar es salaam ambalo nadhani ndilo lenye idadi kubwa ya Watanzania wenye asili ya Kihindi kuliko sehemu nyingine hapa nchini. Wahindi wote wanakaa sehemu za Uhindini, sijaona aliyejenga sehemu za Uswahilini kama Tabata, Segerea, Kinyerezi, Kisukuru na kwingineko. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Wao muda wote wanakaa mkao wa kuondoka wakiwa wamejibana kwenye nyumba za kupanga za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Pamoja na kwamba wengi wao ni mamilionea hawataki kabisa kujenga nyumba zao za kudumu pengine kwa kuelewa kwamba hapa si kwao na wana kwao. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Tabia hiyo ya ubaguzi waliyo nayo ndugu zetu hao inayoanzia katika kukataa kujichanganya nasi kwenye makazi hadi kufikia kukataa kuoleana nasi ni lazima itufundishe kitu fulani. Siyo tuwaachie kuitamani tu nchi yetu bila kuwatamani watu wake halafu eti tuwaachie wawe wawakilishi wetu bungeni na baadaye kujipenyeza kwenye serikali yetu. Inabidi tujiulize, unawawakilishaje wananchi husiotaka kuishi wala kujichanganya nao? [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Mama mmoja wa Kihindi aliyeishi Bukoba kwa karibu maisha yake yote na kuwa kipenzi cha Wahaya wakimwona kama ndugu yao, Mama Kheru, aliishia kufanya kitu kimoja tu kama zawadi na heshima yake kwa Wahaya, kukubali kumpa mtoto wake jina la Kihaya, Kamugisha. [/FONT]

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Lakini Wahaya wakaja kushangaa kuona yule mama alipokaribia kufa anaondoka kwenda kufia kwao India. Mtu kwao! Inafaa wenzetu hawa tuishi nao vizuri ila tusikubali kwa wakati huu watufanyie ubaguzi ndani ya ardhi yetu na iwe nongwa sisi tukiwasema kwa uchafu wao huo. Watanzania tusipoangalia wema wetu utageuka sasa kuwa kiama chetu[/FONT]



Kama hiyo haitoshi, Wakikuyu na Wajaluo yaani kina N nao wanakuja kwa kasi! Hata Wanyarwanda na Warundi..wote msafara ni mmoja, kuelekea Bongo! Tunasema hatutaki..tukatae! Hatuwahitaji! Tanzania ni ya Watanzania! Ina wenyewe! We need to flush them out before it's too late! Ujirani mwema unatosha!
BS

BS ama ndo B@ll C@#p!! There is no hoja in here without Kenya being mentioned ha? Wajaluo na Wakikuyu ehe? You have Luos in TZ so kwahiyo your statements zina bagua...You are a tribalist too...you can now tell the difference between Jaluo na Kikuyu I thought to you "perfect TZ people" all Kenyans were the same.
Tribalism ina ambukiza. Before you say 'Ujamaa" you will be divided on tribal lines and going the Kenya route, talking 'bout tribes and what not.
 
icon13.png
thats why as we invest there we are very carefull , everyone knows that u guys are lazy ! I hear the law now wll take care of all E africans just like natives! Niko macho by the way where is your village? I think there is potential to sell 'air' there!
icon6.png

Mngekuwa hamko lazy hiyo unemployment rate ya 40% inatoka wapi maskini nyie? How much have you invested yourself kama si job hunter tu. Which law will take care of you? In whose country? Is the law a bible that it can't be repealed? Kumbuka maslahi ya mtanzania ni ya kwanza! Wajaluo wa Tanzania tunawajua na hawatupi tabu na Tanzania suala la ukabila halipo! Isitoshe, they don't occupy even a half district ya Tarime na wajaluo wakenya ndipo wanapopatia loophole ku-hood wink watanzania kuwa ni wajaluo wa Tanzania! I mean foreign parasites/survivors. Kumbuka hayo makala si yangu, it was meant for Tanzanians lakini sasa naona inawauma, na kwanini una interests na issues za Tanzania sana, then acha kuisoma if it hurts you. You want to censor us to discuss our own issues! Kaeni kwenu, sisi hatuna mpango wa kuja kwenu! Ujirani mwema unatosha!
 
Mngekuwa hamko lazy hiyo unemployment rate ya 40% inatoka wapi maskini nyie? How much have you invested yourself kama si job hunter tu. Which law will take care of you? In whose country? Is the law a bible that it can't be repealed? Kumbuka maslahi ya mtanzania ni ya kwanza! Wajaluo wa Tanzania tunawajua na hawatupi tabu na Tanzania suala la ukabila halipo! I mean foreign parasites/survivors. Kumbuka hayo makala si yangu, it was meant for Tanzanians lakini sasa naona inawauma, na kwanini una interests na issues za Tanzania sana, then acha kuisoma if it hurts you. You want to censor us to discuss our own issues!

Foreign parasites lakini wengi wetu tunaishi vizuri kukushinda wewe kANYABWOYA mzawa wa Tanzania, una nini wewe mwanaume kuja kwenye sites na kutishia watu kwa kueneza chuki dhidi ya foreigners, wacha watu wachume hela babu, Tanzania ni shamba la bibi. Nyinyi wavivu mmeshindwa, usilaumu wenzako wakitengeneza hela huko.. mlianza kwenda shule juzi wakati Kenyans walisoma toka enzi zile za akina Babu Nyerere, bado mko na hangovers za ujamaa, uvivu umekithiri mitaani, usiongee kuhusu ujinga.

For once lets be real, all the hate that this coon is spewing here is simply because of jealousy, look at SA before the xenophobia begun, people shared the same sentiments that are shared by kanyabwoya and the person who penned down this article, the causes of the sentiments is one: JEALOUSY. Its simple psychology, really, when you see someone else progressing with ease in an area that you and your kind have struggled for centuries with little or no success, you tend to feel an animosity towards the person, this hate is catapulted further if the said person is a 'foreigner', this leads to people writing such articles and fuelling hate against the foreigners. Hate us all you can, fact of the matter is, EAC will bring so much change in EA, both positive and negative, and if you cant stand the heat you'll have to get out of the kitchen, coz son, NOT EVEN AN ARMY CAN STOP AN IDEA WHOSE TIME HAS COME. You will have to change or else you will be molded by the wind of change to fit the criterion needed.
 
Kanyabwoya thanks for the article..

Mwandishi ameongelea angles nyingi ..

Ni kweli watz wenye asili India wengi ni wafanyabiashara, na wapo hapa kwa ajili ya KUCHUMA..thats obvious..na ndio maana kesi nyingi za ufisadi wao ndio mastaring. Hawana moyo wala nchi na wanaichukulia kama juani, kwamba mambo yao yakiwa super mbeleni wanatangulia nchi nyingine ambayo wanaiona kama 'kivulini'. Ndio haishangazi kuona 'matajiri'wengi wa kihindi wa passport zisizopungua 3, ya juani a.k.a 'shamba la bibi'' (TZ), UK/US/Canada, na mwisho ya kwao India. Na hii ni kutokana na udhibiti hafifu, rushwa kwene ofisi husika, aristocrats wenye kujali matumbo yao tu.

Pili ameongelea suala la uwakilishi. Sipo strict sana kwene hili hususan kwene levels za chini kuanzia udiwani kwenda chini, lakini kwene level za ubunge na kuendelea nadhani tunahitaji kweli at least mgombea awe 2 generation mtz kwa kuzaliwa (sijui criterion kwa sasa). Tunahitaji kuwa na criterion kuhusu hili. Nchi nyingi wanafanya hili.

Tatu kuhusu shule za kihindi mimi sioni tatizo kwa sababu kuna kitu kinaitwa mitaala, kama kuna foreign nationals au waTZ wenye asili fulani wanataka kufuata mitaala ya sehemu fulani ikifuata masomo fulanifulani au lugha, so be it. Haiumizi taifa kwa namna yeyote ile.

Kwa kumalizia tu, ningependa serikali ifanye haraka kutoa vitambulisho vya utaifa na kufanya zoezi la kujiandikisha kwa kila mgeni kuwa mandatory. Hatuezi ishi karne hii kama vile babu zetu walivoishi, bila address wala udhibiti. Enzi hiyo imepita.
 
Yaaawwwnnnn... a very long, boring article.. just wasted 10 mins of my life reading this crap.. NKT..
I have a suggestion, build a wall- like the great wall of China- to surround the whole of Tanzania so that you stop whinning like little girls when foreigners are making good money in your country while you stay being broke despite the fact that you have vast mineral deposits,..

Bila shaka umesoma article kutoka kulia kwenda kushoto..Ndo maana huelewi kilichoongelewa.
 
icon13.png
thats why as we invest there we are very carefull , everyone knows that u guys are lazy ! I hear the law now wll take care of all E africans just like natives! Niko macho by the way where is your village? I think there is potential to sell 'air' there!
icon6.png
Kwanza investment yako ni ya USD milioni ngapi ili nione kama uko worth kujadiliana na wewe ktk muelekeo huo?
 
Kanyabwoya thanks for the article..

Mwandishi ameongelea angles nyingi ..

Ni kweli watz wenye asili India wengi ni wafanyabiashara, na wapo hapa kwa ajili ya KUCHUMA..thats obvious..na ndio maana kesi nyingi za ufisadi wao ndio mastaring. Hawana moyo wala nchi na wanaichukulia kama juani, kwamba mambo yao yakiwa super mbeleni wanatangulia nchi nyingine ambayo wanaiona kama 'kivulini'. Ndio haishangazi kuona 'matajiri'wengi wa kihindi wa passport zisizopungua 3, ya juani a.k.a 'shamba la bibi'' (TZ), UK/US/Canada, na mwisho ya kwao India. Na hii ni kutokana na udhibiti hafifu, rushwa kwene ofisi husika, aristocrats wenye kujali matumbo yao tu.

Pili ameongelea suala la uwakilishi. Sipo strict sana kwene hili hususan kwene levels za chini kuanzia udiwani kwenda chini, lakini kwene level za ubunge na kuendelea nadhani tunahitaji kweli at least mgombea awe 2 generation mtz kwa kuzaliwa (sijui criterion kwa sasa). Tunahitaji kuwa na criterion kuhusu hili. Nchi nyingi wanafanya hili.

Tatu kuhusu shule za kihindi mimi sioni tatizo kwa sababu kuna kitu kinaitwa mitaala, kama kuna foreign nationals au waTZ wenye asili fulani wanataka kufuata mitaala ya sehemu fulani ikifuata masomo fulanifulani au lugha, so be it. Haiumizi taifa kwa namna yeyote ile.

Kwa kumalizia tu, ningependa serikali ifanye haraka kutoa vitambulisho vya utaifa na kufanya zoezi la kujiandikisha kwa kila mgeni kuwa mandatory. Hatuezi ishi karne hii kama vile babu zetu walivoishi, bila address wala udhibiti. Enzi hiyo imepita.

Smatta, je na hiyo umeisoma! Hao ni wenye nchi wanaongea! Hakuna Mkenya anayeweza kuja kumkomboa mtanzania..we don't need youe presence while reorganizing ourselves!
 
Smatta, je na hiyo umeisoma! Hao ni wenye nchi wanaongea! Hakuna Mkenya anayeweza kuja kumkomboa mtanzania..we don't need youe presence while reorganizing ourselves!

Sasa wale vibarua nimewaandika niwafute.. na yule mdada wakibongo nimeandikisha biashara yangu kwa jina lake, niache kumlipa? wajinga ndio waliwao
 
acha ubaguzi wewe..kama hupendi kuona amani tuliyonayo nenda somalia ukaishi
Wewe boflo inaonekana na wewe si mtanzania ila ndio wale wale mnaosingizia ubaguzi ili mpate kutunyonya ukweli ameongea point wema wetu unatuponza wenyewe tunabaguliwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

Matajiri, wafujaji, mafisadi, wote ukichunguza ni watanzania wenye asili ya watu weupe kweli si kweli? hao hao ukichunguza sana wamechangia nini katika Tanzania zaidi ya ufujaji na kuua viwanda vyetu. Na wazawa kwa ajii ya umasikini inabidi tu apokee hiyo rushwa ndio kuingia mikataba ya hovyo inayoshindikana hata kuvunjwa kama ya shirika la reli, eti nini utandawazi. eti nini kutunza siha njema ya nchi yetu, eti nini mgeni asijekuondoka na picha mbaya. wakati wenyewe tunaumia. Ilifaa mgeni tumkaribishe kwa upendo na amani na tumpe kile tunachoweza kumpa lakini akijaribu kutufanya mabegwe tumwambia hapana sisi sio mabwegu na tumuondoe ili akienda sehemu nyingine ajue kuwa Watanzania wakarimu na wanaupendo lakini sio watu wa mzaha na kuwachezea.

Tanzania imekuwa ndio dumping place za bidhaa feki, zikikamatwa eti nini aliyekamwatwa anlipa gharama za kuiharibu tena kwenye ardhi yetu ambayo tunazidi kuiongea sumu za kemikali. ingekuwa nchi nyingine mtu akamatwe na hizo bidhaa feki hukumu yake harudii mbona china wananyongwa?

Halafu wewe unaleta eti ubaguzi! ili uzidi kutunyonya? Naamini Watanzania tuna upendo sana na tena wakarimu lakini tusiwe chanzo cha kuonekana mabwege kwa ukarimu na upendo tulionao inabidi tusimamie hazi zetu bila hivyo tutakuja kunyewa midomoni. na kutetea haki zetu sio maana yake tuanzishe vurugu lazima ziwepo sheria zinazotusimamia na kutuongoza katika misingi ya haki bila kuonekana kuwa hizo sheria zina mapungufu ambayo ndio hupelekea kuonekana ndani ya nchi yetu wenyewe tunawakaribisha wageni na kuwapa uraia halafu baadaye wanageuka kuwa mafisadi na wahujumu uchumi wetu. haikubaliki.
 
Kanyabwoya thanks for the article..

Mwandishi ameongelea angles nyingi ..

Ni kweli watz wenye asili India wengi ni wafanyabiashara, na wapo hapa kwa ajili ya KUCHUMA..thats obvious..na ndio maana kesi nyingi za ufisadi wao ndio mastaring. Hawana moyo wala nchi na wanaichukulia kama juani, kwamba mambo yao yakiwa super mbeleni wanatangulia nchi nyingine ambayo wanaiona kama 'kivulini'. Ndio haishangazi kuona 'matajiri'wengi wa kihindi wa passport zisizopungua 3, ya juani a.k.a 'shamba la bibi'' (TZ), UK/US/Canada, na mwisho ya kwao India. Na hii ni kutokana na udhibiti hafifu, rushwa kwene ofisi husika, aristocrats wenye kujali matumbo yao tu.
For once I agree with you. You have said the truth. We are being exploited by our "citizens" wenye asili ya kihind, when things turn thick they flee to other countries, read UK, CANADA SINGAPORE anywhere but stay and help.
Meanwhile tuna tusiana hapa kwenye forum. At the end of the day it's about Race, Colour. It's always going to be US and THEM, THEM here being any one we see as different.



Pili ameongelea suala la uwakilishi. Sipo strict sana kwene hili hususan kwene levels za chini kuanzia udiwani kwenda chini, lakini kwene level za ubunge na kuendelea nadhani tunahitaji kweli at least mgombea awe 2 generation mtz kwa kuzaliwa (sijui criterion kwa sasa). Tunahitaji kuwa na criterion kuhusu hili. Nchi nyingi wanafanya hili.


Tatu kuhusu shule za kihindi mimi sioni tatizo kwa sababu kuna kitu kinaitwa mitaala, kama kuna foreign nationals au waTZ wenye asili fulani wanataka kufuata mitaala ya sehemu fulani ikifuata masomo fulanifulani au lugha, so be it. Haiumizi taifa kwa namna yeyote ile.

Kwa kumalizia tu, ningependa serikali ifanye haraka kutoa vitambulisho vya utaifa na kufanya zoezi la kujiandikisha kwa kila mgeni kuwa mandatory. Hatuezi ishi karne hii kama vile babu zetu walivoishi, bila address wala udhibiti. Enzi hiyo imepita.

I do not know about UGANDA and the rest of EA lakini in Kenya they have one foot in and one foot out.
 
Sasa wale vibarua nimewaandika niwafute.. na yule mdada wakibongo nimeandikisha biashara yangu kwa jina lake, niache kumlipa? wajinga ndio waliwao

i thought ur MPARE ie half tznian!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom