Emashilla
Senior Member
- May 24, 2012
- 138
- 26
JE! GODBLESS LEMA NDIYE CHANZO KINACHOITWA KUKOSEKANA KWA UTULIVU JIJINI ARUSHA?
Mimi sielewi ni kitu gani kinachofanya watu kufikiri kuwa aliyekuwa mbunge wa Arusha Mjini ndiye chanzo cha kukosekana utulivu hapa Arusha.
Mimi naona Arusha watu wake wamechoka kutawaliwa kwa ahadi na sera na ilani zisizotekelezeka.
Arusha ni mji wa amani na utulivu ila CCM wakubali kuwa walishalipoteza jimbo hili kwa miaka mingi ijayao.
Mimi sielewi ni kitu gani kinachofanya watu kufikiri kuwa aliyekuwa mbunge wa Arusha Mjini ndiye chanzo cha kukosekana utulivu hapa Arusha.
Mimi naona Arusha watu wake wamechoka kutawaliwa kwa ahadi na sera na ilani zisizotekelezeka.
Arusha ni mji wa amani na utulivu ila CCM wakubali kuwa walishalipoteza jimbo hili kwa miaka mingi ijayao.