Mfarisayomtata
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 474
- 188
Nakumbuka nlipokuwa mdogo enzi hizo nliwahi kukata godoro lakulalia urefu ili nikilala niwe sawa nalo mbona wakubwa wenyewe wakilala wanafika mwisho, icho kipigo nlichopewa na mshua usiombe! WEWE JE UNAKUMBUKA NINI??