Ibra Mo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 793
- 101
Ukitazama Bunge wakati wa asubuhi maudhurio ya wabunge yanakuwa juu sana ila wanaporudi jioni Maudhurio yanashuka sana yaani hata Robo ya Wabunge hawarejei kikao cha jioni hii ndo inatudhihirishia Wabunge Wetu wapo Kiposho zaidi coz washasaini tu ile asubuhi imetoka.Nafahamu kuna wenye dharura ila haiwezekani kati ya Wabunge 300 na ushehe kikao cha jioni wabunge hawatimii 50.