nimekuwa nikiangalia mada mbali mbali kuhusu usomaji wa vitabu.naamini kama msomi wa chuo kikuu mwaka wa tatu hawezi andika kisomi hili ni jibu tosha ni wakati wa kuwaelekeza au kufundisha na kuwapa kazi zitakazowafaya wasome.hii itakuwa na faida nyingi kwa mtu mmojmmoja na jamii kwa ujumla