Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,610
- 10,663
Wadau nisaidieni, kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu inabidi mimba ya kama miezi 2 itolewe.
je ninjia gani sahihi ya kufanya hii kitu?.
je hapa tz inaruhusiwa kisheria, na ni hospitali gani zinafanya kazi hiyo?
kama nitajua na gharama zake, madhara ntashukuru
je ninjia gani sahihi ya kufanya hii kitu?.
je hapa tz inaruhusiwa kisheria, na ni hospitali gani zinafanya kazi hiyo?
kama nitajua na gharama zake, madhara ntashukuru