Suala la uchinjaji nyama naona limepamba moto, watu wanasema kila mtu anamwabudu Mungu wake hivyo hakuna kulazimishana kwenye mambo ya imani. Waislam kama hawataki basi wafungue bucha zao na wakristo nao wawe na za kwao. Kama vipi huu utaratibu ufutwe.