Utii wa mwanamke ni dawa tosha ya nguvu za kiume

sawa kabisa eiyer! hiyo 25 % iliyobaki ni ile sehemu ya 'Mwanamke atamlinda mwanaume'. Kuna vitu ambavyo mwanaume akifanya huwezi kutii tu kwa sababu eti ni mume. Tupo kwa ajili ya kulindana,penye udhaifu unakuwa mkali kidogo la sivyo mwenzako atapoteza uhai, kazi na hata heshima yake kwenye jamii! tunaonyana na kukemeana kwa upendo
"Kadhalika nyinyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe." (1Pet. 3:7).
 
The word of God is not equivalent with the Bible...in the Scriptures, we encounter God through various confessions of different ages, from different people, with different ideologies, different times and contexts...all these point to us how people form different times and context understood the dynamics of God acting in the history. Yes, not all is what God spoke to us; even Paul says, "this is not from the Lord" meaning it was his own opinion. Many this things were peoples' opinions, but in all the weakness, social contexts etc, the point the picture of this relationship of God with the people. The context of the OT was patriarchal, make dominated societies and that too features in the many parts of the Bible even the NT. Some parts like the Psalms are people's prayers, hymns, lament, thanksgiving, liturgy spoken by the people to God. But in all these confusion, ultimately, through Christ, we know what the WORD means; Christ became the WORD, is the WORD, is the LIGHT, is the WAY, the TRUTH and THE LIFE. So stop these nonsense of discrimination by quoting specific scriptures and call them the WORD OF GOD. Yes because it favors the patriachal society in which we live...
 
think critically lizy, the man does not intended to accuse any body, its the truth and it will stand don't be feminist
 
seniorita baada ya kudai kuwa specific verses ni "nonsense," njoo na hoja yako ambayo sio specific ili tukuelewe, otherwise hoja yako nayo ni nonsense!
 
Umejitahidi ila uliposema “maisha ya mwanamke yamejaa huzuni na mapungufu unless anatawaliwa somewhere“ umeangukia uso....yani naomba niseme umepotoka.Labda ungesema baadhi ungeleeweka zaidi na mimi ningekubaliana na wewe kwasababu najua wapo wanawake ndoa/mahusiano kwao ni zaidi ya HITAJI na SIO TAKWA‘!
Kama mwanamke alivyoumbwa, intrinscally, na desire ya kuonyeshwa kuwa anapendwa na kujaliwa; mwanaume ameumbwa, intrinscally, na desire ya ku-exercise authority.
 
seniorita baada ya kudai kuwa specific verses ni "nonsense," njoo na hoja yako ambayo sio specific ili tukuelewe, otherwise hoja yako nayo ni nonsense!

In order to understand the WIll of God and the WORD OF GOD, you cannot tie the truth to certain verses; now in Deuteronomy, it is written that when your brother, your wife, son disobeys by worshiping other gods, you must kill them by your own hand read 13:6-9....will you thereofre, according to this passage kill your wife, your brother, son, etc for worshipping idols? Will you be happy if the church separates you for your bodily emissions (read Leviticus), will you abandon the house because mould/house fungus has attacked it? Will you read these passages and many others in their own contexts and apply them in your own life? Try it then...What I am saying is that in order to understand the word of God you have to look at the whole Scriptures, and significantly, in the light of that WORD HIMSELF, who became incarnated...apart of that reading the bible and taking every word at face value is meaningless
 
Lizzy umenisoma vibaya ni wanawake watawala na siyo woote,kumbuka kutii ni dada yake kujitoa na usipojitoa kwa dhati huwezi fika kileleni, ndipo sasa ndoa huwa nchumali wa moto/maudhi
...


Jamani lizzy leo amewakera nini?mbona kila mtu anamshambulia tuu,mapenzi bwana must be reciprocated vivo hivyo na ingredients zake kama uaminifu,uvumilivu,ustahimilivu,heshima,unyenyekevu,upole,adabu na mengineyo............kwa hiyo maandiko yametoa uelekeo tu kama general rule ambayo lazima kuna exeption.............mbona wote wanakojoa sawa sawa tu???au mwanamke hafiki kileleni???
 
Does that what authority translates to?!Love and care?!I believe not!!
Lizzy, nazungumzia watu wawili hapa, mwanamke na mwanaume, wenye desire tofauti. Mwanamke naturally ana-desire kupendwa na kujaliwa. Mwanaume naturally anadesire ku-exercise authority.Huwezi ukasema kwamba wewe (mwanamke) unataka kupendwa na kujaliwa, at the same time uka-rule out desire yake (mwanaume). The way you want to be loved and cared (by him), the same way he wants to be respected (by her).
 
...Jamani lizzy leo amewakera nini?mbona kila mtu anamshambulia tuu,mapenzi bwana must be reciprocated vivo hivyo na ingredients zake kama uaminifu,uvumilivu,ustahimilivu,heshima,unyenyekevu,upole,adabu na mengineyo............kwa hiyo maandiko yametoa uelekeo tu kama general rule ambayo lazima kuna exeption.............mbona wote wanakojoa sawa sawa tu???au mwanamke hafiki kileleni???
Mkuu, hatumshambulii Lizzy, tunabadilishana hoja ili tuweze kielewana.
 
.......hata mwanaume pia anatakiwa kutii.
Ni kweli kabisa Dada, heshima na utii katika mahusiano ni suala la pande zote mbili, sawa sawa,
lakini hasa mwanamume anapaswa kumtii mke/mpenzi wake.
Vyenginevyo mke/mpenzi anaweza kulalamika na aibu ikamwangukia mwanamume.
Fikiria itakuwaje mke akilalamika "Mume wangu haniti.i"?
Iwe onyo kwa wanaume wasiowatii wake/wapenzi wao!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom