C.K
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 394
- 162
Nilisoma humu JF barua iliyokuwa na maelekezo machafu ya kuhujumu uchaguzi kwa wasimamizi wa vituo vya kupigia kura. Nimeitafuta tena ili nipate kiambatanisho katika waraka wa kudai utaratibu mwingine wa usimamizi wa uchaguzi siioni.
Naomba mwenye access na barua hiyo aniattachie ili niendelee na zoezi. Asante!
... delays in justice usts injustice! :sad:
Naomba mwenye access na barua hiyo aniattachie ili niendelee na zoezi. Asante!
... delays in justice usts injustice! :sad: