mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
Spika anatakiwa aache kukurupuka. Hiyo shauku na wasiwasi anayoihofu ni yeye aliyeianzisha akitaka kumlinda Pinda. Kwa staili hii ya kulindana lindana ajue atakuwa anachemsha tu kila siku.
Pole yake Mhe Mwenye Makinda kwani kwa hili umeshachemsha, kama ulikuwa anamlinda PM basi ndo umembwaga kwenye jaa au kwenye genge la mkaa na amevaa suti nyeupe kazi kwako kumsafisha. Lema kesha mwaga mabo yote hadharani huitaji kuwa mwanasheria kuona bila mashaka kuwa Pinda amesema uongo