PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,723
Sahihisho:Hapo kwenye Uongo wa 6 sita kuna mtihani kidogo unaweza kuwa Uongo mwingine tena Mhe. Lema kausema Bungeni, kamtaja Dr Slaa, kuwa hana mke kwani kaishafunga ndoa? Spika anaweza kuitaji Marriage Certificate
Huenda hapo kwenye bold ulimaanisha neno.."ana" badala ya uliloandika.."hana", maana umedistort kabisa maana ya nia yako ya msingi!
Lakininapenda nikujibu hoja zako kama ifuatavyo:
1.Hoja ya msingi si ya Dr Slaa kuwa na mke au kufunga ndoa...Hoja ya msingi ya No6.ni madai ya WM kuwa cdm walikaidi amri ya Jeshi lapolisi kutoandamana, na ndio sababu wakakumbana na dola.
2.Kwa sheria ya ndoa (1973?), mtu akikaa continously na mwanamke kwa miezi 3, automatically huyo ni mkewe halali(i may be corrected here)...
Jiulize kesi iliyofunguliwa na yule aliyedai kuwa mume wa mama Slaa imeishia wapi!...utagundua kuwa ccm ni majuha!