Nimesikia toka taarifa ya habari toka star tv eti serikali imetangaza kuwachukulia hatua kali za kisheria MKUCHIKA na Lazaro Nyarandu kwa kuhusika na ubadhirifu hata kama wameteuliwa tena kuwa mawaziri.
JE JK hakujua udhaifu wa watu hawa kabla hajwateua tena kuwa mawari? Je hii si kulidharau bunge?Wazuri wote wameisha CCM hadi kuteua wabadhirifu tena?
JE JK hakujua udhaifu wa watu hawa kabla hajwateua tena kuwa mawari? Je hii si kulidharau bunge?Wazuri wote wameisha CCM hadi kuteua wabadhirifu tena?