UTEUZI wa Mabalozi wetu .....

Kibori

Member
Jul 21, 2009
72
10
Uteuzi wa Mabalozi wetu na Mh. Rais kwa kweli mimi nina mashaka sana, hadidu za rejea sijui huwa nani anatengeneza ....Mh. Marmo amekuwa Mbunge na Waziri kwa nyakati tofauti takribani miaka 30....amekuwa mzee mwenye umri wa kutosha kabisa kupumzika lakini cha kushangaza na kusikitisha ni kwamba bado J.K anamhitaji pamoja na kwamba wananchi wa Mbulu walimkataa ....kwa kweli itabidi uteuzi wa mabalozi uwe ni kudhibitishwa na Bunge lasivyo huenda vyeo hivi vikawa ni kwaajili ya ushikaji tu.... A country which is preparing for a bright future needs to invest into electing as many young people as possible wakajifuze kutoka kwenye nchi za nje ili possibility wajekuongoza hii nchi....sasa kwa mtindo huu....hatuna future hata kidogo......vijana mtaendelea kuitwa taifa la kesho kutwa .....
 
teuzi nyingi za kisiasa, wanajeshi wakorofi kama kina Mayunga, watu wa intelligence wenye info nyingi sana kiasi cha kutishia wakiwa Bongo kama kina Matiku,Mahiga etc, washua waliosaini mikataba mikubwa kama kina Mdee na Marmo, wanaopewa shukurani kwa loyalty kama kina Batilda etc.

Tanzania kumpata "career diplomat" mtu aliyesomea international relations ni nadra sana.
 
Wengine walikataliwa majimboni mwao kuwa wawakilishi bungeni lakini wameonekana kufaa zaidi kuiwakilisha nchi.Lakini aliewateua anajua zaidi!
 
sasa kama mwelekeo ni huu....what future do we have as a country ????
 
I told you, JK is a very good poor manager, huwezi kuendesha nchi kisiasa badala ya kutumia profesionals!nasikitika kuongozwa na jamaa huyu.
 
I told you, JK is a very good poor manager, huwezi kuendesha nchi kisiasa badala ya kutumia profesionals!nasikitika kuongozwa na jamaa huyu.

By the way haya mambo yapo serikali ya Tanzania hata kabla ya JK. Matiku, Mayunga na Mahiga waliteuliwa na Mkapa. Angalau Mahiga alikuwa spook wa TZ UN kwa hiyo ana uzoefu na international relations. Ukiangalia mabalozi wengi wa bongo ni spooks (which is not that surprising because mabalozi wengi generally ni spooks na ubalozi ni disguised channel ya espionage) lakini give me a spook with International Relations like Mahiga any day over a Matiku au huyu aliyepelekwa Burundi juzi ambao ni pure spooks.

This is more than JK. It's something bigger than Tanzania even kwa sababu hata mabalozi wa Marekani wengi wanateuliwa kwa sababu walichangia kampeni vizuri. Lakini kibaya ni kibaya tu whether kinafanywa na wakubwa au hapana. Na wenzetu hata wakiteua watu wsio career diplomat, angalau wanakuwa na uwezo na exposure.

Sio unapeleka jitu janajeshi biiishi, halijui biashara wala uchumi linaenda kuwa balozi.
 
Mwalimu Nyerere alijengea heshima nchi yetu hii kwa kuwekeza kwa vijana kufanya hizi kazi za kidiplomasia.

Tangu hapo Salim A. Salim na wengine wengi zaidi wakavuma kweli kweli kote duniani kama career diplomats waliochangia kuchora upya ramani ya huo mchepuo wao.

Lakini hili la Babu Marmo, asije akaanza kusinzia kati kati ya mazungumzo pindi amtembeleapo rais wa nchi hiyo ikulu ya huko. Batilda Buriani asiyeweza hata kuzungumza na machalii A-Town wakampigie kura eti naye ni balozi. M y foot!
 
teuzi nyingi za kisiasa, wanajeshi wakorofi kama kina Mayunga, watu wa intelligence wenye info nyingi sana kiasi cha kutishia wakiwa Bongo kama kina Matiku,Mahiga etc, washua waliosaini mikataba mikubwa kama kina Mdee na Marmo, wanaopewa shukurani kwa loyalty kama kina Batilda etc.

Tanzania kumpata "career diplomat" mtu aliyesomea international relations ni nadra sana.

What tends to happen is that cronies 'lobby' the President for appointment. It is still up to a decent president , aware of the impact of every single office in the quest to move Tanzania forward, to reject incompetent individuals submitted to him. Cronyism is Jakaya kikwete's style . That is why one cannot point to many meritocratic-ally good appointments Mr. President has made .

Mtu kama Batilda Burhani sijui amejengewa capacity gani kusimamia interest za Tanzania kenya.Kenya ni nchi ambayo ni strategic kwa Tanzania especially katika power struggle hapa East Africa.Kenya ni business partner wa Tanzania.I guess Internal political interests(tena ndani ya CCM,au CCM Vs Chadema kwenye siasa za kanda ya Kaskazini ) zimekuwa qualification na zikapewa kipaumbele.Otherwise kwa wale waliosoma International relations(Economic diplomacy) watagundua kwamba Madame Batilda Burhani is a wrong choice kwa nchi kama Kenya
 
MIMI nasema hivi ukiona unateuliwa na JK know that your performance is in questions
 
Back
Top Bottom