Uteuzi wa Kadhi Mkuu kuthibitishwa na Raisi wa Serikali ya Muungano

mkuu, kwa kweli hakuna chuo kikuu cha waislam hata kimoja hapa tz, kumbuka kuwa muslim university ya moro ni rais mkapa alitaka kuzima ngebe na kelele zao ati wako majinolaized kwenye elimu akanyanganya mali ya wavujajasho wa tz akawapa watu ambao hata hawajui thamani yake, matokeo yake hakuna kiachofanyika.

Nani kakuambia MUM haipo? By the way nenda michuzi utaona watu ambao wamegraduate mwezi uliopita acheni roho zenu mbaya eti wavuja jasho waislamu wanafanya nini? Mnazungumza upupu mtupu eti wavuja jasho kama waislamu hawafanyi kazi Tanzania.
 
usipate shida, raisi ajaye ni slaa/mbowe/zito. Nadhani jibu unalo. Hata bakwata ilianzishwa na serikali, waislam hawanauwezo wa kusimamisha/kusimamia kitu chao, serikali ikiwasimamishia kadhi angalau ataweza kufanya kazi.

Mkuu Bakwata ni Taasisi na Kadhi ni mahakama vitu viwili tofauti moja dola nyengine taasisi ya kidini tujadili humo kwanini isianzishwe Tanzania?
 
..................... Hapo kwenye kodi tu ! hivi mbona mnafanya hiyo kodi kama mnalipa nyie peke yenu? au mmesahau kuwa na sie ni wadau wa nchi hii? mko kwenye kiza kinene kwa ubinafsi na roho mbaya!

kwahiyo shughuli ZA kadhi zitaendeshwa na bajeti ya gvt?, uhuru wk utatoka wapi?. Zaka za misikitini hazitoshi?. Kama ni hivyo uelewa wa waislam unanitia mashaka.
 
Sijaiona proposal walioiandaa waislamu kuhusu kadhi but kwenye baadhi ya nchi nimeona appeals mbali mbali mpaka mahakama kuu kupinga maamuzi ya baadhi ya majudge kuhusu masuala fulani. Mfano Iran na waliamua kumhumuku yule mama kwa kumpiga mawe mpaka afe but ikawa kuna mjadala kuhusu evidence zilizotolewa. Kesi ilipokuwa appealed mahakama kuu imerevoke ile decision ya kumpiga mawe mpaka kufa kwani kuna mapungufu mengi sana katika vithibitisho kuwa amezini. Sasa hivi amebakia na kesi ya kumuua mumewe tu!! Hivyo sidhani kama kutakosekana appeals na hivyo sio kweli kama unavyotaka kulionyesha kwa wanajamii kuwa eti mahakama ya kadhi itakuwa haina appeals.

Ndio maana tunawaambia mnajiingiza kwenye mambo ambayo hamna ufahamu nayo but ni mabingwa wa kuleta maelezo ! Simply hiyo sio Mahakama ya Kadhi, ni mahakama nyingine kabisa!
 
Wikipedia

The study of the United States Bureau of Democracy, Human Rights, and Labor for 2009 suggests that 62% of the population of Tanzania is Christian, 35% is Muslim, and 3% are members of other religious groups

Kwanza inasikitisha mtu mzima akisema uongo pili Wikipedia hawakusema hivyo acha uongo nanukuu kutoka wikipedia:-

Religion

Main article: Religion in Tanzania
Tanzania's population has been estimated to consist of roughly one-third each Muslims, Christians and followers of indigenous religious groups.[31] The national census, however, has not asked for religious affiliation since 1967 as the religious balance is seen as a sensitive topic. As Tanzanians pride themselves on living together with their diversity, the use of a statistic that is conveniently equal is seen as avoiding rivalries between the various religious groups by not identifying the majority. All figures on religious statistics for Tanzania are at best educated guesswork and differ widely on the question whether there are more Christians or Muslims. Most assume that the share of traditionalists has dwindled.[32]
The Christian population is mostly composed of Roman Catholics, Orthodox, Protestants, Pentecostals, Seventh-day Adventists, members of the Church of Jesus Christ of Latter-day Saints (Mormons), and Jehovah's Witnesses. Among Protestants the strong numbers of Lutherans and Moravians point to the German past of the country, the numbers of Anglicans to the British history of Tanganyika. All of them have had some influence in varying degress from the Walokole movement (East African Revival) which has also been fertile ground for the spread of charismatic and Pentecostal groups.
Zanzibar is about 97 percent Muslim. On the mainland, Muslim communities are concentrated in coastal areas, with some large Muslim minorities also in inland urban areas especially and along the former caravan routes. A large majority of the Muslim population is Sunni. There are also active communities of other religious groups, primarily on the mainland, such as Buddhists, Hindus, and Baha'is.[33]

Mwisho wa kunukuu link hii hapa chini ukitaka kuprove

Tanzania - Wikipedia, the free encyclopedia

Hilo unalolisema ni spin off za website moja ya kikristo ikitaka kutuaminisha waislamu Tanzania eti ni minority hiyo website ilidanganya kwani CIA wangelibadilisha demographic statistics zao kama ingelikuwa kweli. Tizama link hii :-

https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/tz.html


Religions:
mainland - Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%; Zanzibar - more than 99% Muslim
 
kwahiyo shughuli ZA kadhi zitaendeshwa na bajeti ya gvt?, uhuru wk utatoka wapi?. Zaka za misikitini hazitoshi?. Kama ni hivyo uelewa wa waislam unanitia mashaka.

Hivi Kodi mnalipa nyie peke yenu ? hilo ndio swali la msingi! na mbona hiyo kodi yako unaruhusu nipewe Dawa Hospital bure?
 
To me issue siyo mahakama ya kadhi.............. ISSUE NI NANI ANAIANZISHA...........??? Kwa nini vitu vyenu vya kidini msianzishe wenyewe........??? Kama mnaweza kuanzisha misikiti na madrasa............ mnashindwa nini kuanzisha hiyo mahakama ya kadhi.......???

Mkuu mahakama ya kadhi ni mahakama na sio taasisi ya kidini itaanzishwa na serikali na kusimamiwa na serikali it is as simple as that.
 
Mdondoaji! unaonesha ni mtu unayefuatilia sna masuala ya kitaifa na kimataifa na labda ni muelewa wa mambo, basi kwa sifa hizo nilitegemea uache ubishi juu ya Vatican kuwa ni nchi na wala sio taasisi kama unavyoita. Vatican ni nchi iliyo ndani ya nchi ya Italia na mji mkuu wa nchi hiyo inayoongozwa na Papa Benedicto ni Vatican city, na sio lazima uwe mwanachama wa UN ndio wakutambue kama Nchi huru, hebu nikuulize Allasane Quattara anatambuliwa na UN kama Rais wa Ivory Coast, je ana mamlaka yoyote ya Urais? Mambo kama haya ya ubishi usiokuwa na maana ndio yanafanya wenzetu wa dini zingine siku zote watuone kama watu tusiokuwa weledi, wakati ukweli ni kinyume chake. Wewe jenga tu hoja kwa nini mkuu wa nchi ndio aidhinishe uteuzi wa Kadhi bila kuathiri imani ya dini zingine!

Vile vile nilishawahi sikia kuwa Switzeland si mwanachama wa Un lakini ni nchi
 
Ndio maana tunawaambia mnajiingiza kwenye mambo ambayo hamna ufahamu nayo but ni mabingwa wa kuleta maelezo ! Simply hiyo sio Mahakama ya Kadhi, ni mahakama nyingine kabisa!

Mkuu sijaona hoja nimetoka humu nimerudi usiku naona watu wanaongea upupu tu mara kodi (utafikiri wao ndio wanalipa kodi peke yao), mara Tanzania nchi haina dini (utafikiri mahakama ya kadhi ni taasisi ya kidini), mara eti kodi ya haramu (kwani kodi za halali serikali inazifanyia nini? ) pumba tupu zinaendelea hakuna mtu anakuja na concrete argument. Mara utaona kashfa za dini zitaanza tena we subiri
 
Vile vile nilishawahi sikia kuwa Switzeland si mwanachama wa Un lakini ni nchi

Mkuu Switzerland ni mwanachama UN walijunga UN mwaka 2002. Vatican ngoma nzito wanachama wengine wakiwamo wazito wanaweka ngumu kwa kuargue kwamba hilo litachangia dini zingine nazo kudai kutambulika kinchi. Switzerland wao walikuwa hawataki kujiunga na UN tu but Vatican ngoma nzito!!
 
Mimi nafikiri turudi tu kwemye hoja ya msingi haya ya kulawiti na kubaka ni udhaifu wa mtu binafsi na wala sio maagizo ya dini ya muhusika! Hoja ni je ni sawa Rais kumthibitisha kadhi mkuu baada ya uteuzi ? na je hiyo ina athari gani kwa waumini wa dini na imani nyingine?

Kama kadhi Court ni ibada basi ishughulikiwe na waislamu wenyewe kama vile ambavyo maaskofu wa kikristo wanavyochaguliwa na wakristo wenyewe bila msaada wala bajeti ya serikali.
 
Jana nimesikiliza radio ya Kiislamu ,ambapo mtaalamu wa mambo ya dini ya Kiislamu alikuwa anaelezea jinsi ya Kadhi Mkuu atakavyopatikana,amesema masheikh watakaa na kumpendekeza mtu watakaye muona anafaa kuwa Kadhi Mkuu ambaye kwao wao ndiye atakuwa kama mkuu wa mambo ya maamuzi ya kisheria yahusuyo masuala ya waumini wa Kiislamu hapa Tanzania,na wakimpendekeza huyo mtu ,jina lake litapelekwa kwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,ambaye ndiye atakaeidhinisha na kuwa Kadhi Mkuu ni .............,sasa mimi nilichoshangaa ni je kwanini Raisi wa Jamhuri ya Muungano ndie aidhinishe uteuzi wa Kadhi Mkuu?kwani je serikali ina dini?na kwa Kadhi Mkuu kuidhinishwa na Raisi ina maana ni mwaajiriwa wa serikali? na kama ndio hivyo je atafuata masharti ya ajira ya serikali na kwa kuwa Raisi ndie atakayeidhinisha ina hela yangu ya kodi mimi mkiristo ndio italipa mshahara na marupurupu ya muislam?
Hakika kama mambo ndio hivyo basi sina budi kusema Serikali kwa kukubali suala la Kadhi Mkuu kushughulikiwa na serikali inatupeleke mahali kusiko sisi watu wa dini nyingine,mwishowe hata wapagani watadai wawe na musimamizi wa mambo yao ya kisheria atakayelipwa na serikali.

Sasa mfia nchi shida iko wapi? Mbona hata waziri mkuu wa UK anathibitishwa na malkia asiye na amri juu yake? Wao watateua kisha mkuu atathibitisha (maana hatakuwa na uamuzi tofauti). Mambo ya salary waachie wenyewe, si kuna sadaka kaka?
 
Kama kadhi Court ni ibada basi ishughulikiwe na waislamu wenyewe kama vile ambavyo maaskofu wa kikristo wanavyochaguliwa na wakristo wenyewe bila msaada wala bajeti ya serikali.

Hivi nani aliwaambia mahakama ya kadhi ni ibada? Je nikuulize mahakama za Tanzania ni ibada? Mbona mnaspin maneno?
 
Mkuu sijaona hoja nimetoka humu nimerudi usiku naona watu wanaongea upupu tu mara kodi (utafikiri wao ndio wanalipa kodi peke yao), mara Tanzania nchi haina dini (utafikiri mahakama ya kadhi ni taasisi ya kidini), mara eti kodi ya haramu (kwani kodi za halali serikali inazifanyia nini? ) pumba tupu zinaendelea hakuna mtu anakuja na concrete argument. Mara utaona kashfa za dini zitaanza tena we subiri

Ndio wanakoweza kujificha huko ! wengine wanalalamika kwa Mabenki kufungua SHARIA ACCOUNT !
Nimependekeza kwao, yeyote anayeifahamu Mahakama ya Kadhi na Sheria zake aje na hoja mbili tu, za udhaifu anao uona katika taratibu na sheria hizo. Hakuna mpaka sasa ! wao wanaleta Tende, lakini mapipa ya kupikia pombe zilizowasomesha hawaleti!
Tuna sema Katiba ina kasoro na ibara na vifungu vinatajwa na mapendekezo yanatolewa, Je Mahakama ya Kadhi, udhaifu uko wapi?
 
Kama kadhi Court ni ibada basi ishughulikiwe na waislamu wenyewe kama vile ambavyo maaskofu wa kikristo wanavyochaguliwa na wakristo wenyewe bila msaada wala bajeti ya serikali.

Naona tatizo kubwa hapa ni Budget ! kwani hiyo Budget ni yenu pekee? mbona hapo hamtuelimishi vizuri ................ maana mmeng'ang'ania tu hela zenu hela zenu !
 
Naona tatizo kubwa hapa ni Budget ! kwani hiyo Budget ni yenu pekee? mbona hapo hamtuelimishi vizuri ................ maana mmeng'ang'ania tu hela zenu hela zenu !

Ni kweli kabisa, tatizo hapa ni serikali kugharimia mahakama ya kadhi, kwani kama ni matatizo ya ndoa, miradhi nk hata makundi ya dini zingine yanawakumba na hawajasema tunataka mahakama za kipee ili wapate mahali pa kusulihishana peke yao. Shida kubwa zaidi ni kwamba kama waislamu watadai hiyo mahakama ihudumiwe na keki ya taifa( inayochangiwa na watu wa dini zote na wasio na dini) basi yataibuka mashindano ya kila kundi nalo kutaka mgao wa kipee na kidini, e.g. wakristo watataka serikali ichangie kujenga makanisa, wengine Jamatini na wapagani sehemu zao za kuzindikia.

Kuhusu maendelea katika nyanja mbalimbali ndani ya ukristo ni kwamba, kwa mfano mimi ni KKKT, tuna michango mingi kweli kweli na kama una imani haba unaweza hama kanisa, kuna sadaka ya kawida, ahadi na jengo, pia harambee za kila mara na tunafundishwa jinsi ilivyo baraka kumtolea Mungu( na tunabarikiwa kweli kweli). Kuna udhibiti wa kutosha kuhusu hela za kanisa, tuna wahasibu na ma-auditors( mapungufu na matatizo yapo kwa kiasi chake). Tuna miradi mbalimbali, vikundi vya kwaya vinatoa nyimbo na kutengeneza hela nyingi( hata waislamu na wasio wakristo wanazipenda sana na wanatusaidia sana kuzizambaza). Kwa kifupi ndivyo ambavyo maendeleo ya wakristo yanavyokuja. Misaada toka nchi za nje imepungua sana na hata ikija hutumika kwa usahihi.

Mwisho, kwa uelewa wangu wakristo hawapingi mahakama ya Kadhi bali wanachopinga ni hiyo mahakama kugharimiwa na serikali, na kwa upande wa waislamu hawalalamiki(kwa sasa) kwa nini mahakama ya Kadhi haianzishwi ila wanacholalamikia ni kwa nini mahakama ya Kadhi isiendeshwe na fedha kutoka hazina.

Hapo juu nimepingwa kwamba mahakama ya Kadhi si Ibada, lakini mimi kwa masikio yangu nilisikia toka kwa muislam maarufu kabisa kuwa kuwanyima waislamu mahahakama ya Kadhi ni sawa na kuwanyima kufanya Ibada, kwa hiyo eti ni kuvunja Katiba. Naomba ufafanuzi zaidi kama mahakama hiyo sio ibada kwa dini fulani, je itashughulikia hata asiye muislamu, na je mbona wanaoidai ni waislamu(dini)?
 
Ni kweli kabisa, tatizo hapa ni serikali kugharimia mahakama ya kadhi, kwani kama ni matatizo ya ndoa, miradhi nk hata makundi ya dini zingine yanawakumba na hawajasema tunataka mahakama za kipee ili wapate mahali pa kusulihishana peke yao. Shida kubwa zaidi ni kwamba kama waislamu watadai hiyo mahakama ihudumiwe na keki ya taifa( inayochangiwa na watu wa dini zote na wasio na dini) basi yataibuka mashindano ya kila kundi nalo kutaka mgao wa kipee na kidini, e.g. wakristo watataka serikali ichangie kujenga makanisa, wengine Jamatini na wapagani sehemu zao za kuzindikia.

Kuhusu maendelea katika nyanja mbalimbali ndani ya ukristo ni kwamba, kwa mfano mimi ni KKKT, tuna michango mingi kweli kweli na kama una imani haba unaweza hama kanisa, kuna sadaka ya kawida, ahadi na jengo, pia harambee za kila mara na tunafundishwa jinsi ilivyo baraka kumtolea Mungu( na tunabarikiwa kweli kweli). Kuna udhibiti wa kutosha kuhusu hela za kanisa, tuna wahasibu na ma-auditors( mapungufu na matatizo yapo kwa kiasi chake). Tuna miradi mbalimbali, vikundi vya kwaya vinatoa nyimbo na kutengeneza hela nyingi( hata waislamu na wasio wakristo wanazipenda sana na wanatusaidia sana kuzizambaza). Kwa kifupi ndivyo ambavyo maendeleo ya wakristo yanavyokuja. Misaada toka nchi za nje imepungua sana na hata ikija hutumika kwa usahihi.

Mwisho, kwa uelewa wangu wakristo hawapingi mahakama ya Kadhi bali wanachopinga ni hiyo mahakama kugharimiwa na serikali, na kwa upande wa waislamu hawalalamiki(kwa sasa) kwa nini mahakama ya Kadhi haianzishwi ila wanacholalamikia ni kwa nini mahakama ya Kadhi isiendeshwe na fedha kutoka hazina.

Hapo juu nimepingwa kwamba mahakama ya Kadhi si Ibada, lakini mimi kwa masikio yangu nilisikia toka kwa muislam maarufu kabisa kuwa kuwanyima waislamu mahahakama ya Kadhi ni sawa na kuwanyima kufanya Ibada, kwa hiyo eti ni kuvunja Katiba. Naomba ufafanuzi zaidi kama mahakama hiyo sio ibada kwa dini fulani, je itashughulikia hata asiye muislamu, na je mbona wanaoidai ni waislamu(dini)?

Kadhi ni tofauti na Ujenzi wa makanisa, naona unazunguka zunguka tu ! Mbona husemi hiyo hiyo Keki ya Taifa inalipia Hospital zote sa Kikristo Tanzania nzima, hiyo sio huduma? kwa nini mmege kwenye Keki ya Taifa. Lililo wazi ni kuwa Keki imewanogea hamtaki kabisa mwingine mwenye shea yake halali asogee!!
 
Ni kweli kabisa, tatizo hapa ni serikali kugharimia mahakama ya kadhi, kwani kama ni matatizo ya ndoa, miradhi nk hata makundi ya dini zingine yanawakumba na hawajasema tunataka mahakama za kipee ili wapate mahali pa kusulihishana peke yao. Shida kubwa zaidi ni kwamba kama waislamu watadai hiyo mahakama ihudumiwe na keki ya taifa( inayochangiwa na watu wa dini zote na wasio na dini) basi yataibuka mashindano ya kila kundi nalo kutaka mgao wa kipee na kidini, e.g. wakristo watataka serikali ichangie kujenga makanisa, wengine Jamatini na wapagani sehemu zao za kuzindikia.

Kuhusu maendelea katika nyanja mbalimbali ndani ya ukristo ni kwamba, kwa mfano mimi ni KKKT, tuna michango mingi kweli kweli na kama una imani haba unaweza hama kanisa, kuna sadaka ya kawida, ahadi na jengo, pia harambee za kila mara na tunafundishwa jinsi ilivyo baraka kumtolea Mungu( na tunabarikiwa kweli kweli). Kuna udhibiti wa kutosha kuhusu hela za kanisa, tuna wahasibu na ma-auditors( mapungufu na matatizo yapo kwa kiasi chake). Tuna miradi mbalimbali, vikundi vya kwaya vinatoa nyimbo na kutengeneza hela nyingi( hata waislamu na wasio wakristo wanazipenda sana na wanatusaidia sana kuzizambaza). Kwa kifupi ndivyo ambavyo maendeleo ya wakristo yanavyokuja. Misaada toka nchi za nje imepungua sana na hata ikija hutumika kwa usahihi.

Mwisho, kwa uelewa wangu wakristo hawapingi mahakama ya Kadhi bali wanachopinga ni hiyo mahakama kugharimiwa na serikali, na kwa upande wa waislamu hawalalamiki(kwa sasa) kwa nini mahakama ya Kadhi haianzishwi ila wanacholalamikia ni kwa nini mahakama ya Kadhi isiendeshwe na fedha kutoka hazina.

Hapo juu nimepingwa kwamba mahakama ya Kadhi si Ibada, lakini mimi kwa masikio yangu nilisikia toka kwa muislam maarufu kabisa kuwa kuwanyima waislamu mahahakama ya Kadhi ni sawa na kuwanyima kufanya Ibada, kwa hiyo eti ni kuvunja Katiba. Naomba ufafanuzi zaidi kama mahakama hiyo sio ibada kwa dini fulani, je itashughulikia hata asiye muislamu, na je mbona wanaoidai ni waislamu(dini)?

Labda nikuulize swali moja inapotokea mkaachana na kuna kugawana mali huwa unaenda wapi? Na nani anayeamua kesi ya ugawaji wa mirathi mnapofariki hasa inapotokea mifarakano naomba jibu.
 
Ni kweli kabisa, tatizo hapa ni serikali kugharimia mahakama ya kadhi, kwani kama ni matatizo ya ndoa, miradhi nk hata makundi ya dini zingine yanawakumba na hawajasema tunataka mahakama za kipee ili wapate mahali pa kusulihishana peke yao. Shida kubwa zaidi ni kwamba kama waislamu watadai hiyo mahakama ihudumiwe na keki ya taifa( inayochangiwa na watu wa dini zote na wasio na dini) basi yataibuka mashindano ya kila kundi nalo kutaka mgao wa kipee na kidini, e.g. wakristo watataka serikali ichangie kujenga makanisa, wengine Jamatini na wapagani sehemu zao za kuzindikia.

Kuhusu maendelea katika nyanja mbalimbali ndani ya ukristo ni kwamba, kwa mfano mimi ni KKKT, tuna michango mingi kweli kweli na kama una imani haba unaweza hama kanisa, kuna sadaka ya kawida, ahadi na jengo, pia harambee za kila mara na tunafundishwa jinsi ilivyo baraka kumtolea Mungu( na tunabarikiwa kweli kweli). Kuna udhibiti wa kutosha kuhusu hela za kanisa, tuna wahasibu na ma-auditors( mapungufu na matatizo yapo kwa kiasi chake). Tuna miradi mbalimbali, vikundi vya kwaya vinatoa nyimbo na kutengeneza hela nyingi( hata waislamu na wasio wakristo wanazipenda sana na wanatusaidia sana kuzizambaza). Kwa kifupi ndivyo ambavyo maendeleo ya wakristo yanavyokuja. Misaada toka nchi za nje imepungua sana na hata ikija hutumika kwa usahihi.

Mwisho, kwa uelewa wangu wakristo hawapingi mahakama ya Kadhi bali wanachopinga ni hiyo mahakama kugharimiwa na serikali, na kwa upande wa waislamu hawalalamiki(kwa sasa) kwa nini mahakama ya Kadhi haianzishwi ila wanacholalamikia ni kwa nini mahakama ya Kadhi isiendeshwe na fedha kutoka hazina.

Hapo juu nimepingwa kwamba mahakama ya Kadhi si Ibada, lakini mimi kwa masikio yangu nilisikia toka kwa muislam maarufu kabisa kuwa kuwanyima waislamu mahahakama ya Kadhi ni sawa na kuwanyima kufanya Ibada, kwa hiyo eti ni kuvunja Katiba. Naomba ufafanuzi zaidi kama mahakama hiyo sio ibada kwa dini fulani, je itashughulikia hata asiye muislamu, na je mbona wanaoidai ni waislamu(dini)?


Mahakama ya kadhi ni muhimili wa kisheria unaofata kitabu kitukufu cha Quran na sunna za mtume muhammad S.A.W sasa alipokueleza huyo sheikh ni vema ukamuuliza alikuwa anamaanisha nini? Ujue kuwa muislamu kila kitu anachokifanya ni ibada hata hapa tukijadiliana mie ninapata thawabu hivyo hilo sidhani kama linaharibu mantiki ya mahakama ya kadhi. Umeuliza kuwa kama wasio waislamu watahukumiwa jibu ni simple wewe umeukubali uislamu na unakubaliana na sharia law basi ikiwa jibu lako ndio basi unaweza kutumia mahakama ya kadhi ikiwa hapana it will be very strange uende ukahukumiwe na mahakama ya kadhi. Decision ikitolewa hujaridhika nayo si utaruka kusema wewe ni mkristo na huitambui mahakama hiyo?
 
Back
Top Bottom