Hii si sawa kabisa.Ina maana hamna mtu wa bara anayefit hiyo nafasi? Ingekuwaje kama mbunge wa bara angeteuliwa kuwa waziri wa afya Zanzibar? Si wangeitisha maandamano na kila siku kupinga na kuchomea wabara vibanda vyao huko? Upole wetu watanganyika ndio uliotufikisha hapa na utatumaliza.....