OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Hawa CCM na UVCCM wanashangaza sana,huyu Bashe si ndo Makamba na Chilagati walimtangaza sio Raia, si ndo aliyeshinda kura za maoni jimbo la Nzega CCM wakasema si Raia, Si ndo huyu mwenyekiti wa CCM Taifa Kikwete aliwaambia wajumbe wa NEC na kamati kuu 17 August 2010 kuwa hawezi akamsamehe Bashe kwa jinsi alivyovuruga Mkutano Mkuu wa UVCCM Iringa.
Si ndo huyu Husein Bashe aliyeshinda ujumbe wa NEC 2007 Mhe samuel Sita na Rostam Aziz wakakataa kutangaza idadi ya kura alizopata kwa madai kuwa jina lake limepotea, si ndo huyu makamba alitutangazia kuwa amefungiwa mpaka mbinguni jioni ya tarehee 22 August makamba alinukuliwa akiongea na TBC "Tumemfungia Bashe kugombea ubunge kwa sababu sio raia na biblia inasema ukifungiwa duniani unafungiwa mpaka mbinguni" mwisho wa kunukuu maneno ya makamba, si ndo huyu Ridhwan Kikwete na Beno Malisa waliwahi kusambaza sms nchi nzima kwa viongozi wa CCM Wakimtukana na kumdhalilisha kuwa ni Msomali haramia (pirates)
Naomba mwenye majibu anisahidie, Ni lini CCM Ilimtangaza Bashe ni Raia alali wa Tanzania ? Ni lini CCM Ilimuomba radhi Husei Bashe kwa kumdhalilisha kuwa sio Raia? Ni lini makamba alitutangazia kumfungulia kifungo duniani na mbinguni? Ni lini Jk alimsamehee kwa kuvuruga Mkutano wa CCM Iringa? Ni lini Ridhwan alitutangazia kuwa Bashe ni Mtu safi (Clean) Ni lini Chilagati alitutangazia kumrudishia Bashe uanachama wa CCM? Ni lini Sita na Rostam watatutangazia idadi ya Kura za NEC alizopata Bashe? Ni lini Kikwete na tume ya uchaguzi watatutangazia kuwa Bashe ndo mbunge mteule wa Nzega? Naomba mwenye majibu haya hatusaidie
Angalizo: Bashe sisi vijana tunaimani na wewe ,karama ya uongozi ,uwezo wa kujenga hoja na utiifu wako ndani ya chama sio wa mashaka hata kidogo, matendo na dhuluma ulizofanyiwa na CCM ni ishara tosha kuwa wewe ni tishio kwa wafadhiina (Col Kikwete, Col Makamba, Captain Chilagati, Capt Mkuchika, Membe) na wengineo waliopo ndani ya CCM .
Jk katangaza kulivua CCM gamba sisi kwetu that is not a isue kinachoitajika CCM sio kujivua gamba kinachoitajika ni kutekeleza ahadi na ilani ya uchaghuzi 2015. Tunakutakia kila la kheri ila uwe makini isije ikawa ni Mtego wa kukumaliza
Si ndo huyu Husein Bashe aliyeshinda ujumbe wa NEC 2007 Mhe samuel Sita na Rostam Aziz wakakataa kutangaza idadi ya kura alizopata kwa madai kuwa jina lake limepotea, si ndo huyu makamba alitutangazia kuwa amefungiwa mpaka mbinguni jioni ya tarehee 22 August makamba alinukuliwa akiongea na TBC "Tumemfungia Bashe kugombea ubunge kwa sababu sio raia na biblia inasema ukifungiwa duniani unafungiwa mpaka mbinguni" mwisho wa kunukuu maneno ya makamba, si ndo huyu Ridhwan Kikwete na Beno Malisa waliwahi kusambaza sms nchi nzima kwa viongozi wa CCM Wakimtukana na kumdhalilisha kuwa ni Msomali haramia (pirates)
Naomba mwenye majibu anisahidie, Ni lini CCM Ilimtangaza Bashe ni Raia alali wa Tanzania ? Ni lini CCM Ilimuomba radhi Husei Bashe kwa kumdhalilisha kuwa sio Raia? Ni lini makamba alitutangazia kumfungulia kifungo duniani na mbinguni? Ni lini Jk alimsamehee kwa kuvuruga Mkutano wa CCM Iringa? Ni lini Ridhwan alitutangazia kuwa Bashe ni Mtu safi (Clean) Ni lini Chilagati alitutangazia kumrudishia Bashe uanachama wa CCM? Ni lini Sita na Rostam watatutangazia idadi ya Kura za NEC alizopata Bashe? Ni lini Kikwete na tume ya uchaguzi watatutangazia kuwa Bashe ndo mbunge mteule wa Nzega? Naomba mwenye majibu haya hatusaidie
Angalizo: Bashe sisi vijana tunaimani na wewe ,karama ya uongozi ,uwezo wa kujenga hoja na utiifu wako ndani ya chama sio wa mashaka hata kidogo, matendo na dhuluma ulizofanyiwa na CCM ni ishara tosha kuwa wewe ni tishio kwa wafadhiina (Col Kikwete, Col Makamba, Captain Chilagati, Capt Mkuchika, Membe) na wengineo waliopo ndani ya CCM .
Jk katangaza kulivua CCM gamba sisi kwetu that is not a isue kinachoitajika CCM sio kujivua gamba kinachoitajika ni kutekeleza ahadi na ilani ya uchaghuzi 2015. Tunakutakia kila la kheri ila uwe makini isije ikawa ni Mtego wa kukumaliza