Makame
JF-Expert Member
- Jan 3, 2008
- 512
- 60
Jambo linalonichefua kabisa ni kwamba Rais anapofanya UTEUZI, utaona wachangiaji wanasema amefanya ud*ni.
Kwa Heshima kubwa, nawasihi wachangiaji walilete Baraza la Mawaziri na kuangalia wanao-share imani na Rais ni wangapi na endapo idadi yao inawafunika wasi - share imani na Rais.
Likishafanyika hilo, nitaomba tufikie kwenye conclusion; ili tuweze kufanya justification or otherwise ya hiyo hoja.
Tujadiliane
Kwa Heshima kubwa, nawasihi wachangiaji walilete Baraza la Mawaziri na kuangalia wanao-share imani na Rais ni wangapi na endapo idadi yao inawafunika wasi - share imani na Rais.
Likishafanyika hilo, nitaomba tufikie kwenye conclusion; ili tuweze kufanya justification or otherwise ya hiyo hoja.
Tujadiliane