MZEE WA KARATU
Member
- Apr 26, 2012
- 15
- 9
ndugu wana JF na Watanzania kwa ujumla wenu, tutegemee nini kwa baraza hili jipya la Mawaziri. Mimi ninaona ni Themos tu lilibadilishwa lakini chai ni ile ile. Mimi binasfi nilitegemea kuwa Wale wabunge machachari kama wa Ludewa angestahili kuwa Waziri kwani anatetea wananchi wa hali ya chini. Mimi bado sipati picha ya baraza hili Jipya