Ndelamochi
Member
- Apr 17, 2011
- 11
- 1
Clement Mshana, sio mtu muwazi na ambaye ataifanye TBC iwe kama Tiddo alivyofanya, kama mtakuwa na kumbukumbu nzuri huyu Clement Mshana ndie aliyezuia baadhi ya waandishi wa habari kuingia bungeni kurusha hotuba ya raisi mwaka jana, na mwandishi aliyezuiliwa alilalamika sana hata kwa kuandika makala kwenye gazeti.Huyu katumwa kuzima uhuru wote wa TBC