MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,194
Chadema wamekuwa na mtazamo hasi kwa kila alifanyalo JK.
1. Kateua mawaziri, wakasema hawana sifa
2. Kawateua MADC hata kuapa bado, CDM wanalalama kuwa hawafai; Nyie nendeni mkaimarishe chama chenu, JK hastahili kushauriwa na CDM wakati anateua safu ya uongozi wa nchi.
JK anastahili MISIFA kwa kukidhi matakwa ya watanzania kwani safu ya MADC imechanganya makundi mbalimbali ya wananchi kachanganya makabila yote, darasa la saba hadi PHD, wanasheria, wanajeshi, waalimu, vijana, akinamama, mikoa yote, simba na yanga, walio na harufu ya CDM wamo hiyo ni ishara tosha 2015 CDM mtalia kipigo cha mbwa mwitu
1. Kateua mawaziri, wakasema hawana sifa
2. Kawateua MADC hata kuapa bado, CDM wanalalama kuwa hawafai; Nyie nendeni mkaimarishe chama chenu, JK hastahili kushauriwa na CDM wakati anateua safu ya uongozi wa nchi.
JK anastahili MISIFA kwa kukidhi matakwa ya watanzania kwani safu ya MADC imechanganya makundi mbalimbali ya wananchi kachanganya makabila yote, darasa la saba hadi PHD, wanasheria, wanajeshi, waalimu, vijana, akinamama, mikoa yote, simba na yanga, walio na harufu ya CDM wamo hiyo ni ishara tosha 2015 CDM mtalia kipigo cha mbwa mwitu