Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
- Thread starter
- #61
Kama hawajijui ni kwa sababu hawajaambiwa; kwa hivyo basi ndio wanaambiwa kuwa wako hivyo, wajijue na waache gender bigotry.
inategemea na wale wanaowaambia kuwa na wao wenyewe siyo wanafiki au wanajiona wana haki ya kuwaita wengine wanafiki huku wao wenyewe unafiki wao hawajauangalia au wanasubiri kuambiwa na wengine.