Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #101
Mkuu, stop being a cheap advocate
Open your eyes and think.
Kesi inategemea ushahidi, hoja zako zimejikita katika kigezo cha umri na speculation kuwa amebakwa na kuacha hoja zote za msingi.
Subiri postmotem na results za mkemia mkuu na mawasiliano ya simu yote ndo urudi tena.
Cheza na kesi ya mauaji wewe . . .
Unarahisisha mambo kilahisi bila hoja za nguvu!
hoja zako zinanisaidia kuthibitisha ya kuwa DPP ni bomu.......ilkuwaje amkamate Lulu wakati kumbe hata post-mortem ripoti haijakamilka, kumbe kuna hata mawasiliano ya simu hayajulikani yanasema nini na taarifa ya mkema mkuu haijulikani? Sasa DPP akiwa hana vielelezo hivi alifikiaje kumtia nguvuni masikini mtoto wa watu na kumfungulia makosa ya jinai wakati hana hata chembe ya ushahidi?
kwa khali hii hata wewe DPP anaweza sasa hivi kukutia ndani na kukufungulia kesi ya hii ya mauaji kwa madai anasubiria vielelezo muhimu kutoka kampuni ya simu, post-mortem report na ripoti ya mkemia mkuu...............Am very sad with the way this nation is heading..................yaani haki za raia zinachezewa kama za kuku ambaye uhai wake na uhuru wake uko mikononi mwa mbabaishaji yoyote yule kama huyu DPP............
ni vyema tiukaanza kuangalia haki za mtuhumiwa..........2day it Lulu 2morrow could be you.....................na kwa bahati mbaya hutakuwa unahushishwa na mauaji ya celebrity or a self-proclaimed number one Bongo movie superstar like mwendazake.............