Utetezi wa Chenge Mahakamani

Mjenda Chilo

JF-Expert Member
Jul 20, 2011
1,467
513
Wanaforum, watu wameshamwaga mboga sasa wakati wa kumwaga ugali ugali umefika. Kama tujuavyo Hosea ameahidi Chenge kupelekwa mahakamani baada ya DPP kukamilisha mchakato wa file. sipati picha jinsi kesi hii itakavyokuwa rahisi kwa Chenge. Yaani kwa TZ yetu ya leo, mtu ambaye amekuwa Mwanasheria mkuu wa serikali na Waziri kwa miaka lukuki yet ni kati ya wasomi wachache wa sheria wa kwanza akashindwa kujustify jinsi alivyopata hiyo hela kabilioni moja na ushee tu, mbona nachoka! Huyu jamaa kwa hesabu za karibu makusanyo yake ya posho halali ambazo kwa serikali yetu double payments zimekithiri ni ngumu sana kumbana. Fikiria Waziri akienda Mwanza kikazi si anapewa allowances, anazitumia wapi? wakati kila kitu anaandaliwa? Billion moja kwa waaziri bongo ni hela ndogo saana, na ndo maana Chenge alisema ni visenti tu, hiyo ni kweli kabisa, kama kuna mtu anadata za kupinga hili aweke mezani. Hapa hamna kesi yeyote, wasiwasi wangu labda ni umri tu ndo utamnyima fursa ya kurudi kwenye chart. Nafikiri pindi itakapofika wakati wa chenge wa kutoa ushahidi ndo tutajua kwanini watu wanauana kugombea ubunge na kuteuliwa uwaziri na inawezekana baada ya hapo wote tukaenda vijijini kwetu kuanza kuangalia jinsi gani ya kujiunga na ujasiriamali ulipao kupita maelezo. Mtaniambia.
 
kama ni posho lazima aonyeshe hizo pesa zilivyohamishwa kutoka point a kwend b.

ukifuata pesa tu utagundua kama ni mauzo ya ngómbe au rushwa. huo sio utetezi kabisa.
 
Elewa kwanza halafu ndo ufiche. Issue hapa ni source ya pesa pekee. Hata kwenye kibuyu chumbani kwako unaweza kuhifadhi pesa ila unashauriwa kuweka benki kwa usalama zaidi. Kuweka pesa nje ya nchi kwa taarifa yako pia sio kosa. Where did u get the money ndo isue. Kwa taarifa tu watu kibao wameshaulizwa hii nyumba, magari etc umezipata wapi wkt mshahara ni Tgs F, unaonyesha payment voucher za posho, safari, mikopo nk na biashara inaishiaga hapo. My point ni kwamba through Chenge's issue ndo tutajua how can these guys get, hizo rushwa ni mabilioni, si utaniambia? Sijui kama umenilewa ndugu. Ni mawazo tu
 
Tutajua kwamba ziliwekwa kidogokidogo au kwa mara moja? Njia ya mwongo ni fupi siku zote! Acha aje kusema na yasiyokuwepo!
 
Sorry umesema nani wakufikishwa mahakamani?.Ni mahakama yepi unayozungumziwa huyu mtuhumiwa apelekwe ni ile ya Wananchi au zile kiutaratibu unaofahamika kwa Wanajamii.Manake Mahakama sahihi ni Mahakama ya Umma,ila akipelekwa Mahakama za utaratibu Watanzani itakuwa imekula kwao,kwa kuwa Mtuhumiwa anaijua Mahakama ya Tanzania nje ndani na wengi wanayoiongoza idara hiyo ni zao lake wakti wa utawala wake akiwa mwanasheria Mkuu wa Serikali
 
nadhani tusisahau kuna za $ 600,000 zilielekezwa kwa mshirika
 
Wanaforum, watu wameshamwaga mboga sasa wakati wa kumwaga ugali ugali umefika. Kama tujuavyo Hosea ameahidi Chenge kupelekwa mahakamani baada ya DPP kukamilisha mchakato wa file. sipati picha jinsi kesi hii itakavyokuwa rahisi kwa Chenge. Yaani kwa TZ yetu ya leo, mtu ambaye amekuwa Mwanasheria mkuu wa serikali na Waziri kwa miaka lukuki yet ni kati ya wasomi wachache wa sheria wa kwanza akashindwa kujustify jinsi alivyopata hiyo hela kabilioni moja na ushee tu, mbona nachoka! Huyu jamaa kwa hesabu za karibu makusanyo yake ya posho halali ambazo kwa serikali yetu double payments zimekithiri ni ngumu sana kumbana. Fikiria Waziri akienda Mwanza kikazi si anapewa allowances, anazitumia wapi? wakati kila kitu anaandaliwa? Billion moja kwa waaziri bongo ni hela ndogo saana, na ndo maana Chenge alisema ni visenti tu, hiyo ni kweli kabisa, kama kuna mtu anadata za kupinga hili aweke mezani. Hapa hamna kesi yeyote, wasiwasi wangu labda ni umri tu ndo utamnyima fursa ya kurudi kwenye chart. Nafikiri pindi itakapofika wakati wa chenge wa kutoa ushahidi ndo tutajua kwanini watu wanauana kugombea ubunge na kuteuliwa uwaziri na inawezekana baada ya hapo wote tukaenda vijijini kwetu kuanza kuangalia jinsi gani ya kujiunga na ujasiriamali ulipao kupita maelezo. Mtaniambia.

Umeleta mada na kujijibu maana na utetezi tayari now unataka sisi tuseme nini ?
 
Wanaforum, watu wameshamwaga mboga sasa wakati wa kumwaga ugali ugali umefika. Kama tujuavyo Hosea ameahidi Chenge kupelekwa mahakamani baada ya DPP kukamilisha mchakato wa file. sipati picha jinsi kesi hii itakavyokuwa rahisi kwa Chenge. Yaani kwa TZ yetu ya leo, mtu ambaye amekuwa Mwanasheria mkuu wa serikali na Waziri kwa miaka lukuki yet ni kati ya wasomi wachache wa sheria wa kwanza akashindwa kujustify jinsi alivyopata hiyo hela kabilioni moja na ushee tu, mbona nachoka! Huyu jamaa kwa hesabu za karibu makusanyo yake ya posho halali ambazo kwa serikali yetu double payments zimekithiri ni ngumu sana kumbana. Fikiria Waziri akienda Mwanza kikazi si anapewa allowances, anazitumia wapi? wakati kila kitu anaandaliwa? Billion moja kwa waaziri bongo ni hela ndogo saana, na ndo maana Chenge alisema ni visenti tu, hiyo ni kweli kabisa, kama kuna mtu anadata za kupinga hili aweke mezani. Hapa hamna kesi yeyote, wasiwasi wangu labda ni umri tu ndo utamnyima fursa ya kurudi kwenye chart. Nafikiri pindi itakapofika wakati wa chenge wa kutoa ushahidi ndo tutajua kwanini watu wanauana kugombea ubunge na kuteuliwa uwaziri na inawezekana baada ya hapo wote tukaenda vijijini kwetu kuanza kuangalia jinsi gani ya kujiunga na ujasiriamali ulipao kupita maelezo. Mtaniambia.

Hoja yako haina uzito kwa maana kwamba pesa hizo ziliingia kwenye account na kuhamishiwa bank nyingine kwa wakati mmoja, na kwa maneno mengine pesa hiyo ni kutoka source moja hilo ndilo swali la kujiuliza. Hakuna anayemtuhumu Chenge kwenye account zake za hapa Tanzania ambako amekuwa akiwekeza tangu aanze kibarua, hili la ulaya linamtia kitanzi, vinginevyo usanii wao wa kuzoeleka ili kulindana.
 
Hivi issue ni vyanzo vya mapato ya Chenge au kesi ya rada? Nijuzeni wakuu maana napata mashaka sasa.
 
Kitu kingine muhimu cha kujiuliza ni aina ya mashtaka atakayofunguliwa. Hao washtaki wenyewe kwanza walisema hawana ushahidi. Sikumbuki ni lini walituambia kuwa wamepata huo ushahidi.

Isije kuwa AC ndio anajitayarishia hati ya mashtaka yake. Kwani wameona hoja ya kusema ushahidi hawana imekuwa haina uzito. Sasa wameamua wacheze filamu ya kumfikisha mahakamani ili aende akaishinde kesi Jamhuri. Kwani suala la kumsafisha limekua likigonga ukuta kila mara. Kuainisha vyanzo vya fedha hizo sioni kama ni tatizo ukiangalia aina ya washtaki.

Sina imani na washtaki wenyewe kabisa kutokana na tabia walizozionyesha mwanzo.
 
Pure politics is being played hapa .Hakuna kitu hata kimoja hapa .Kama huamini ngojea utaona .
 
Hivi issue ni vyanzo vya mapato ya Chenge au kesi ya rada? Nijuzeni wakuu maana napata mashaka sasa.

Inshu wanataka kuichezesha kimtindo. hawampeleki kwa "radar"deal bali utata wa pesa anazomiliki ambazo naamini (being a lawyer) and longly been in a system ataruka tu kama Nalaila Kiula
 
Back
Top Bottom