MgungaMiba
JF-Expert Member
- Aug 28, 2011
- 999
- 815
Kama itakumbukwa vizuri, yule M/kti wa CDM aliyechinjwa kule Arumeru, kabla kuuawa, kuna mtu alikuwa akimtafuta, akapigiwa simu, ilikuwa usiku, akaenda ndipo akafikwa, simu yake tu ndio ilichukuliwa kuficha ushahidi, pikipiki yake iliachwa.Ukiangalia na hili la Dr Ulimboka, nae alikuwa akitafutwa na mtu, akapigiwa simu, ilikuwa usiku, akaenda ndipo akafikwa! Sijui kama simu yake haikuchukuliwa kuficha ushahidi lakini gari yake iliachwa. Tofauti ni kuwa Mungu amejaalia Dr Ulimboka
amenusurika. Do we notice the similarities of the Executioners? Dr Ulimboka na Kamanda Mbwambo wote walikuwa wapigania haki dhidi ya Serikali. Wenye kufikiri watafikiri.
amenusurika. Do we notice the similarities of the Executioners? Dr Ulimboka na Kamanda Mbwambo wote walikuwa wapigania haki dhidi ya Serikali. Wenye kufikiri watafikiri.