MikeGolles
Member
- Mar 31, 2012
- 73
- 9
Kitu kimoja na ninavyomjua huyu kijana Joshua Nasari a.k.a Max ni shida! Tena hatari kubwa kwa Magamba!!mjengoni hapatatosha ukichanganya na Lisu , mama Makinda anajiuliza; "Mungu wangu hii balaa ingine imenitokea wapi tena?"