Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo la dar mna maneno mengi matendo hafifu.jifunzeni kutoka arusha.
upo sahihi kabisa ndugu.siku moja nilikuwa dodoma kwenye msiba mmoja nikawasikia wababa watatu wakisema eti wabunge wote wangekuwa kama mhe. fulani basi tanzania ingekuwa na maendeleo sana na kwamba wanatamani kama mhe. huyo angekuja kugombea kwenye jimbo lao (dodoma mjini)eti kisa tuu huyo mhe. alitoa mabasi yake mawili hapo msibani.kwa hali hii kweli tutafika jamani!!???.....ila inafaa kutoa elimu kuhusu kazi ya Mbunge, ndio maana watu wanaona bora kuchagua mafisadi wakidhani kuwa watatumia fedha zao binafsi kutatua matatizo yao ya kila siku. Wanaamka mapema kupanga foleni ya kuomba misaada, wanatoa magari kwenye misiba na ubani ndio yanaishia hapo, akina Abood, Mohd Dewji, Lowassa, Chenge et al....
Vingapi mkuu?katika hali inayotafsiriwa kuwa chadema wamejipanga katika kuleta mabadiliko katika jimbo la arumeru mashariki,utekelezaji wa ahadi za mbunge mteule kutoka cdm bw. Joshua nassari umeanza rasmi hata kabla ya kuapishwa kwake.
Taarifa zilizonifikia kutoka kwa wakazi wa meru ni kuwa visima vya maji vimeanza kuchimbwa.
Nadhani nape nnauye anahitaji kupata taarifa hii kutokana na ushauri alioutoa kwa cdm.
Hongera josh nassari!
Vingapi mkuu?
Muulize ******.Vingapi mkuu?
Muulize ******.
Idadi itakusaidia nini? Unatakiwa ujue kuwa visima vimeanza kuchimbwa Arumeru Masharikia. Hii ni Aibu kwa serikali ya ccm ambayo imekuwa madarakani kwa miaka 50 lakini hawakuwa na hiyo idea ya kuwasaidia wana Arumeru. ccm yao ni kupiga makofi kwa kuwapongeza walowezi waliokwapua ardhi ya wazalendo.
Mwulize Kikwete kuwa walikuwa wapi na kwanini hawakuchimba visima?
si wote ni baadhi ya sehemu haswa uswahilini na sehemu zenye shida sana ndio magamba wanapeta kwa kweli:nono:tatizo la dar mna maneno mengi matendo hafifu.jifunzeni kutoka arusha.