Meru unaweza kwenda na buku Bar na ukarudi umelewa?.......
Mkuu nimezaliwa Dar na nawafahamu vyema watu wa Dar, mbunge wa Ilala Musa Zungu katibu wake kazi yake kubwa ni kufuatilia Jimboni ni nyumba gani ina msiba ili Zungu apeleke turubai viti, ubwabwa na ubani wa shillingi 50,000/= basi, hivyo ukitaka kushindana na Zungu Ilala una kazi ya ziada.
Lakini msife moyo jimbo la Segerea litakuwa wazi na tutafanya maamuzi kama ambayo tuliyafanya awali kabla hili Jambazi Makongoro Mahanga alijakwiba kura zetu, na kuonesha kwamba Mungu si Athumani na wala si Mwamedi Makongoro amepatwa na stroke last week.
pwani + wazaramo=ujingaDar ni janga la kitaifa ila litaisha tu, nafikiri tuwape jina wakazi wake ni mradi kumekucha tukamtumikie mkoloni ambaye ni Mtanzania mwenzao
tatizo la dar mna maneno mengi matendo hafifu.jifunzeni kutoka arusha.
Ha ha haaa! Sio watu Dar ninao wafahamu. Mbona Dar ni ubinafsi uliopitiliza na ndiyo maana sio chachu ya mabadiliko!!!!!
ukombozi uko njiani
Dar ni magamba full, wakishapewa vi-khanga na t-shirt vya kijani basi wanabakia kwenye foleni miaka mitano,Ha ha haaa! Sio watu Dar ninao wafahamu. Mbona Dar ni ubinafsi uliopitiliza na ndiyo maana sio chachu ya mabadiliko!!!!!