KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Naamini bunge linaweza kuweka kipimo na ukomo wa kiongozi ambaye anaonekana wazi kwamba uongozi umemshinda.hii itasaidia kuleta utawala bora wenye ufanisi na tija kwa wananchi bila kungojea muda fulani upite ndio marekebisho yafanyike,mfano japani,kama waziri mkuu haridhishi katika utendaji wake anapigiwa kura ya imani/maoni akishindwa out