wakuu,
kuna maswali huwa najiuliza lakini nakosa majibu!!.
ni jinsi gani serikali ya awamu ya 4 ina practise utawala bora?
na je ni zipi faida na hasara za utawala bora ambazo hadi leo hii tunaziona?
msaada tutani plz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.