Nina maelezo yakina juu ya kutengeneza juisi ya tangawizi itakayokufanya uchelewe kufika kileleni kwa zaidi ya dk 20 mpaka 30 na uwezo wa kurudia round nyingi zaidi
napatikana hapa 0712505049
gharama za maelezo na maswali yote ni tsh 5000 tu
hongera kwa ujuzi, ila unazungumizia ile ya kumix na vitunguu swaumu nin...
wape watu elimu bure Mungu atakubaliki sana. ukitaka free maelezo njoo PM vijana...
yangu sio complicate kama ile ya vitunguu na impact yake kwenye hii yangu within 1or 2day haina madhara na nihata ukinywa kila siku tofauti na kitunguu swaumu amabyo ina act like bustar tu na impact ipo slow sana
Haahahahhaahahaahah jaman huko kote mnazunguka xana dawa mm ninayo ninooomaa inaitwa mundendee nibalaaa hiyo ukuitumia usipime lakan angalizo usitumie ukiwa na mpnz wako ambayea unatalajia kufunga nae ndoa please napatikana what'sap,,,no 0716036523
Nina maelezo yakina juu ya kutengeneza juisi ya tangawizi itakayokufanya uchelewe kufika kileleni kwa zaidi ya dk 20 mpaka 30 na uwezo wa kurudia round nyingi zaidi
napatikana hapa 0712505049
gharama za maelezo na maswali yote ni tsh 5000 tu
hongera kwa ujuzi, ila unazungumizia ile ya kumix na vitunguu swaumu nin...
wape watu elimu bure Mungu atakubaliki sana. ukitaka free maelezo njoo PM vijana...
Haahahahhaahahaahah jaman huko kote mnazunguka xana dawa mm ninayo ninooomaa inaitwa mundendee nibalaaa hiyo ukuitumia usipime lakan angalizo usitumie ukiwa na mpnz wako ambayea unatalajia kufunga nae ndoa please napatikana what'sap,,,no 0716036523
Kijana merengo90,
Hakuna haja ya PM hapa. Ni jukwaa la kusaidia watu hapa. Kama kuna kitu unakielewa basi mwaga hapa na watu woote wanafuaine. Kama ulivosema, Mungu atazidi kukubariki kwa kuwa mbaraka kwa wengine. tuache tabia ambazo baadhi ya watu kama #appoh za kutaka kufanya biashara badala ya kusaidia watu. Binafsi nilishatoa ushuhuda wangu hapa jukwaani na wengi waliufanyia kazi.
Pole saana Kijana appoh kwa njaa.
Hujui matumizi ya jukwaa hili. Jukwaa hili lilianzishwa mahususi kwa ajili ya kusaidiana katika matatizo mbalimbali hususani ya kiafya. Halikuanzishwa kwa ajili ya biashara. Msaada unaweza kuwa wa ushauri, maelekezo tiba ilipo, na hata kama unajua tiba basi unaisema. Wapo waliojitahidi kufanya biashara kama akina #Mzizi na wengine lakini wameshindwa. nakushauri tu (i) UKAE kimya kama huwezi kutoa msaada kwa wanaJukwaa au (ii) UUMWAGE ushauri/ujuzi/msaada wako hapa jukwaani kama hukujua madhumuni ya jukwaa.
Labda kama mtu akipata tiba sahihi basi aweza rudi na kukushukuru. Ila njaa zako peleka kwingine..
Umenipata? ok...
Nina maelezo yakina juu ya kutengeneza juisi ya tangawizi itakayokufanya uchelewe kufika kileleni kwa zaidi ya dk 20 mpaka 30 na uwezo wa kurudia round nyingi zaidi
napatikana hapa 0712505049
gharama za maelezo na maswali yote ni tsh 5000 tu
Nina maelezo yakina juu ya kutengeneza juisi ya tangawizi itakayokufanya uchelewe kufika kileleni kwa zaidi ya dk 20 mpaka 30 na uwezo wa kurudia round nyingi zaidi
napatikana hapa 0712505049
gharama za maelezo na maswali yote ni tsh 5000 tu
Kijana merengo90,
Hakuna haja ya PM hapa. Ni jukwaa la kusaidia watu hapa. Kama kuna kitu unakielewa basi mwaga hapa na watu woote wanafuaine. Kama ulivosema, Mungu atazidi kukubariki kwa kuwa mbaraka kwa wengine. tuache tabia ambazo baadhi ya watu kama #appoh za kutaka kufanya biashara badala ya kusaidia watu. Binafsi nilishatoa ushuhuda wangu hapa jukwaani na wengi waliufanyia kazi.