daniel paul
Member
- Nov 29, 2011
- 16
- 3
Nashukuru sana mtanganyika mwenzangu kwa kuwakumbusha watanganyika wasio elewa utaifa wao. Na pia nina mashaka na wale watu wazima wanao simama mbele za majukwaa na kusema ni uhuru wa tanzania sin ahakika kama akili zao ziko active. Hakika nakwambia mi ntakufa naitambua tanganyika