Bintiwamoyo
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 610
- 824
"Kigezo cha super star wa nchi za wenzetu" halafu ukiambiwa umekariri maisha unakataa. Diamond ni super star wa Tz. Kwa vigezo vya Tz anafanya vizuri na anapesa ndefu. Hao unaomfananisha nae haina tija ili mradi Diamond ametutoa kitaifa na ukimfananisha na wasanii wa Tz amefanya vizuri mnoo.nimechukulia kigezo cha super star wa nchi za wenzetu.. kumbe nimekosea ?