CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Wakati Baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere (RIP) anazima hoja ya G55 kuhusu Serikali TATU alisema hivi ninaomba kunukuu "Sera ya CCM ni serikali MBILI kuelekea serikali MOJA"
Wanzazibari mumeliwa chini ya CCM Zanzibar itakuwa mkoa na Rais wake atakuwa RC kama Hajart Mariam (RC for Coast region) pale watakapounda serikali MOJA.
Wrong...itakuwa wilaya kama Mafia..wako 1.5 tu sawa na Temeke