Utata wa Kifo Cha Hayati Sokoine

Kama una GPA ya 2.3 ulienda chuo kufanya nini? Wewe ndy wa kutandika viboko maana umechezea kodi yetu, na hiyo ni laana labda urudi kulima kwenu SITIMBI.
 
Shukrani mkuu, wengine wanasema daktari aliye ufanyia postimatamu mwili wa sokoine alisema kua mwili ulikuwa na tundu la risasi mgongoni pia hakuna ndugu wa marehemu aliye ruhusiwa kushiriki kuuandaa mwili wa marehemu,nazidi kuchanganyikiwa hapa.

Kabisa @ Shaba ndo anajua mwili Wa marehemu ulipigwa risasi ila nakumbuka marehemu baba yangu aliniambia hili maana yeye na Prf.Shaba walikuwa marafiki wakubwa saan kipindi baba alikuwa mkubwa Fulani hv.... Ni kweli kabisa Pm Sokoine alipigwa risasi na nimejua haya kupitia baba yangu
 
Nina uhakika shaka hii iliyopo juu ya kifo cha Moringe Sokoine inathibitisha usemi wa wenye hekima kuwa "PENYE UKWELI UONGO HUJITENGA"

Aliyeanzisha mada hii amefanya vizuri. Ila tu ikiwa lengo ni kupata ukweli utakaolisaidia taifa la sasa na vizazi vijavyo. Dunia ya leo ujanja ujanja hauna nafasi sawa na enzi za ujinga miaka ile ya fikra za mwenyekiti. Ifike mahali ukweli na uwazi uwe ni kitu cha kawaida maana wengi walio na hila na uovu hasa wa kuvuja mali za umma huugopa sana ukweli. Watafanya kila wawezalo kuufunika lakini hilo haliwezekani.

Ukifuatilia utaona hata huu wizi wa fedha za umma BOT tena unaojirudia ni zao la kukwamishwa juhudi alizoanzisha Sokoine. Hii itakuja kuisha ingawa itachukua miaka mingi ijayo. Lakini historia inaonyesha hatua za maendeleo ya kweli na thabiti wakati mwingine hupigwa kwa gharama ya watu kujitolea hata kufa, hasa kwa nchi zilizo gizani huku Afrika.

R.I.P: Sokoine, Korimba, Kombe, Dr. Omary Ally Juma, Dr. Mvungi, Amina Chifupa, kighoma Malima, Karume...loading please wait...
 
Sababu za Dr Prof Shaba kuwa mlevi wa kutupwa baada ya postmotem.
Huyu Prof Shaba inasemekana hakua mlevi ila baada ya tukio hili alikua kama TBL
 
Nina uhakika shaka hii iliyopo juu ya kifo cha Moringe Sokoine inathibitisha usemi wa wenye hekima kuwa "PENYE UKWELI UONGO HUJITENGA"

Aliyeanzisha mada hii amefanya vizuri. Ila tu ikiwa lengo ni kupata ukweli utakaolisaidia taifa la sasa na vizazi vijavyo. Dunia ya leo ujanja ujanja hauna nafasi sawa na enzi za ujinga miaka ile ya fikra za mwenyekiti. Ifike mahali ukweli na uwazi uwe ni kitu cha kawaida maana wengi walio na hila na uovu hasa wa kuvuja mali za umma huugopa sana ukweli. Watafanya kila wawezalo kuufunika lakini hilo haliwezekani.

Ukifuatilia utaona hata huu wizi wa fedha za umma BOT tena unaojirudia ni zao la kukwamishwa juhudi alizoanzisha Sokoine. Hii itakuja kuisha ingawa itachukua miaka mingi ijayo. Lakini historia inaonyesha hatua za maendeleo ya kweli na thabiti wakati mwingine hupigwa kwa gharama ya watu kujitolea hata kufa, hasa kwa nchi zilizo gizani huku Afrika.

R.I.P: Sokoine, Korimba, Kombe, Dr. Omary Ally Juma, Dr. Mvungi, Amina Chifupa, kighoma Malima, Karume...loading please wait...

Mkuu mbona ktk RIP zako Mwalimu hayupo!
 
Kuna hili neno huwa nalusikia tu, na maana yake ni kuwa usiulize ulize.

"KWA MANUFAA YA UMMA"

Amestaafishwa kwa manufaa ya umma.....

....ameng'olewa meno kwa .....

....ajali hii ni kwa manufaa ya ....

Kazi kweli, sijui ni nani anayeamua kuwa hili ni kwa manufaa binafsi, ya kikundi cha watu au ya umma wote.
 

Nimeisoma kwa umakini mkubwa habari hii...lakini ili niweze kuchangia mawazo yangu hapa juu ya habari hii. Ningeomba ,mosi, kupata uhakika wa namna mazungumzo ya Mw. Nyerere (R.I.P) na S. Machele (R.I.P) juu tishio la Sokoine (R.I.P) kwa Mwalimu yalivyovuja.Pili namna gani mawasiliano/mazungumzo ya Mwalimu na watu wa M. Benz(ujerumeni) yalivyovuja pia.

OMBI:
Naomba kupata nakala ya aina yoyote( video,audio, written documents) ya Hotuba za Jemedari huyu wa Haki za Wananchi wa Tanzania, E.M.Sokoine.
 
Waulize Dr Kashimba alie na Siri aina ya majeraha ambayo hata Familia ilikataliwa kuona, pia Muulize Mzee Kizota yule mwenye Bar viwanja vya Saba Saba, alikuwa bodi gadi yake, wakimbizi waliokuwepo maeneo ya karibu na ajali wanadai kuona bodi gadi huyo akifyatua risasi, muda mfupi tu baada ya mheshimiwa kutoka nje ta gari kujaribu kukimbia. Muulize Mwalimu Nyerere aliekuwa Rahisi wa Tanzania

Mzee kizota eeh? Hivi bado anaishi? Namfahamu mshenzi yule.mbona sikuwahi kuisikia hiyo.?
 
nilikua bado mdogo sana,ila nakumbuka kipindi wanatangaza ndo nilikua natoka RTC kununua sukari ,ndo nikasikia ulikua mshituko na hudhuni sana tulifuatilia mazishi live kupitia RTD.

Kisha nikiwa sec miaka ya 90 tukawa na urafiki na mtoto wa mmoja wa mkuu wa majeshi ambae pia kwao ni butiama karibu kabisa na kwa jk,akawa anatuambia ni siri kubwa ila mwili wa sokoine ulikutwa na jeraha la risasi mgongoni.
Ila sikuwahi kuamini asee.

So? We do actually know the murderer. That bastard mzee wa kizota right? Or at least he should know the real story. Please someone say something.
 
Mkuu Head teacher, umenikumbusha. Mimi nilikuwa darasa la 5, shule ya msingi Katwe, kule Karagwe - Kagera. Pia siku hiyo tulikuwa na ugeni shuleni wa viongozi wa CCM kutoka mkoani, namkumbuka Mzee Pius Ngeze (Mwenyekiti wa mkoa) na Bonifas Njohole ambaye alikuwa katibu wa CCM mkoa wa Kagera. Yaani enzi hizo viongozi wa CCM mkoa walikuwa na nguvu kuliko mkuu wa mkoa. Habari za msiba zilijulikana mida ya saana 7 mpaka 8, hakika yalikuwa ni majonzi makubwa sana.

Enough of majonzi. We now have a list of possible killers. Mzee wa kizota. Cleopa. Kawawa. Lowassa. But why lowassa of all the people? He was by then still a juvenile delinquent right? And you can't rule out Kawawa because he died poor. Look at his boss jk he also died poor right? In those days you couldn't play fisadi openly. We need to summarise a really true verdict and announce the real murderer.
 
Pichani ni gari lililosababisha kifo cha aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania Mhe:Edward Moringe Sokoine mnamo Tar 12 Mwezi 04 Mwaka 1984 wakati akitokea kwenye kikao cha Bunge mjini Dodoma kwenda jijini Dar – Es – Salaam

sokoine.jpg


Picha hapo chini ikimuonyesha Baba wa Taifa ambaye naye ni marehemu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akilia kwa uchungu baada ya kuona mwili wa aliyekuwa rafiki yake kipenzi Waziri Edward Sokoine ukiwa umelala milele.

soko.jpg


Sokoine alifariki kwa ajali ya gari Jumatano ya Aprili 12, 1984 saa 11:30 jioni wakati akitoka kwenye kikao cha bunge Dodoma kuelekea Dar es Salaam
Mwili wa Edward Moringe Sokoine ulizikwa nyumbani kwao Monduli, mkoani Arusha!
Hayo mengine ni maswali ya hisia tu ambayo kila mwenye hisia zake moyoni hana budi kujiuliza bt all in all apumzike kwa amani milele!
Mengine yote sawa lakini muda alipofariki si 11:30 jioni bali muda wa kati ya saa tano na sita mchana maana nilkuwepo Hospitali ya Mkoa wa Morogoro kwa matibabu wakati mwili wa Hayati Sokoine unaletwa pale alafu muda kati ya saa saba na saa nane mchana wimbo wa taifa ulipigwa na kufuata sauti ya Mwalimu ikitangaza kifo cha Hayati Sokoine. Hiyo saa 11:30 nadhani mwili wake ulikwa umeshawasili Dar ulichukuliwa kwa ndege ya Jeshi pale Ngerengere.
 
Duuh hii nayo kali aisee kwa hiyo kachukuliwa msukule? ha ha ha!

Actualy mimi nilikuwa mwajiliwa pale upanga makao makuu ya jeshi. Kulikuwa na taarifa kuwa pm wakati huo salimu ahmed salimu ilibidi akimbie ofisi kwa sababu mweye ofisi yake alikuwa akimvisit kila siku. Na alikuwa akidai haki yake ya kuishi kama watu wengine ambao hawajafa rasmi.
 
kwani siri za usalama zinadumu kwa miaka mingapi baada ya tukio kufanyika? muda umefika ukweli uwekwe wazi ni akina nani walikuwa nyuma ya mauaji ya waziri mkuu wetu??
 
Back
Top Bottom